Bar- med ( Muhudumu wa bar)

jjs2017

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
2,027
Reaction score
4,316
Habari zenu wana jf ... Ana hitaji kuwa barmed kutokana na ugumu wa maisha anao pitia. Anaomba ushauri wenu na ni njia zipi atumie anapokuwa muhudumu kuepuka ku laghaiwa ..Napia anaomba kujua background za hii kazi na ni mbinu zipi atumie

Nb; Lugha chafu haziruhusiwi..
 
Mwambie tu kuwa mshahara ni elfu 30 kwa mwezi na kila barmaid ni chakula cha boss pia ili aweze kuendeleza maisha hana budi kukubali kulala na wanaume tofauti tofauti angalau kwa siku wanaume 2 ili maisha yaendelee
Ila msisitize sana awe anabeba kabisa salama kondomu kwenye pochi yake au lady pepeta ili kujinganga na WAYA.
 
asisitize tu wateja wake kutumia condoms
 
Na kwanini asitafute mama ntilie mbona ina hela japo watu wanaichukulia poa
 
Simple tu. Anajitoa mhanga siku tano tu. Miatatu elfu atakuwa nayo. Ni mtaji tosha wa kuuza maziwa ya kuchemsha na chapati mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…