Bank Officers (NMB)

Bank Officers (NMB)

Niliona post kwenye page ya NMB wanasema hawajatangaza ajira ni uongo!

 
bado hawajaita zone yoyote.... huwa wanatuma email kama umechaguliwa au kama hujachaguliwa hivyo uwe unapitia email yako mara kwa mara uliyo itumia wakati wa kuapply.
 
Walichukua interns na volunteers kama strategy ya kupunguza costs za interviews na training. So kama kuna anayesubiri atasubiria sana yani. Watu washakula mashavu long time.

Mi nina mmbuyu head office, umenimegea taarifa tayari.
 
Tutawapa taarifa wadau mchakato utakapokamilika.

Asanteni.
Hivi kuna fixed account nawea kuweka USD tu NMB? Nikitumia ya watoto vipi?
Nataka kila mwezi naweka usd 200 ila kwenye fixed account hasa ya watoto for at least two years.
Sijui kama zipo za USD
 
Hivi kuna fixed account nawea kuweka USD tu NMB? Nikitumia ya watoto vipi?
Nataka kila mwezi naweka usd 200 ila kwenye fixed account hasa ya watoto for at least two years.
Sijui kama zipo za USD
Salaam Menison,
Akaunti za USD zipo ndio na za watoto pia nazo zipo. Karibu sana katika tawi letu tukuhudumie na pitia Personal - NMB Bank Plc. kufahamu zaidi
Karibu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom