Nataka fungua deposit account, niwe naweka tu vijicent kidogo kidogo bila kutoa.
sio mamilion ndugu zangu.
ni bank ipi itanifaa?
vipi zinakua zinazaliana au still wananikata makato wao?
am student, sina any mradi so ni pesa ndogo tu.
Kuna nyuzi kama mbili tatu kuhusu hilo swala na wanyambisi wamelifafanua hili kwa kina, na kila mwamba ngoma alivuta kwake. ukiutafuta utapata idea za uanzie wapi na umalizie wapi. mimi pia nilianzisha mmoja na nikafaidika nao. utafute utakuta evelisingi umo. hii JF mkuu. kila la kheri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.