Naomba u google neno BOT (Bank of Tanzania) unapaswa uwe mchumi wa kiwango cha juu na uwe umebobea masuala ya Finace (fedha) na economic planning lakini kubwa zaidi ya yote unatakiwa ujipendekeze kwa wakubwa wakuone so taaluma yako sometimes unatakiwa uibane mkiane kukubaliana na matakwa yao