Ni kweli kabisa mkuu. Ni muhimu standards zikawepo na kuzingatiwaSio hilo tu hata yale lililopo Ohio na Ally Hassan RD. Yanaondoa concentration kwenye driving ama kwa kuzubaishwa na zile video clips Au kuhisi taa zimeruhusu wakati picha zinapobadilika ni hatari Kwakweli.
Tukiona kimya tutafute watoto wa mbwa wakalipasuepasue biashara iishe.Hili suala lilishawekwa humu kuhusu hilo ji billboard la mlimani city naona wahusika hawaoni dawa yake ni kwenda kufunika boonge moja la gunia kama yule aliepindua maandishi ya Hollywood kkkk
😀😀 hapana mkuu sikuwa nimeonja. Picha nitaweka nikipita tena hapoKwani mchana wakati ukiwa kwenye uelekeo wa jua kuchomoza na kuzama unachukua hatua gani? Fanya kama vile jua linapokuelekea halafu washa full lights nahisi yaweza kusaidia ila lete picha tuone kwanza.
Halafu kwa nini taa za bar hazina mwanga mkali? Isijekuwa umepata mambo ya bar ambayo hayataki mwanga mkali.
Yani kama umeniona mkuu lile bango ni kero aiseh wahusika walifanyie kazi kwakeli.Bango la matangazo lililopo round about ya Mlimani city lina mwanga mkali sana usiku na linawaumiza sana macho madereva wanaotoka ubungo kuelekea Mwenge. Tafadhali wahusika msisubiri accident itokee ndipo mchukue hatua.
Kuna lingine lipo Kilwa road kabla tu ya round about ya Mgulani. Lina mwanga mkali sana. Hawa wanaoyaweka wanajua kupata hela tu usalama wa madereva kwao sio muhimu.Bango la matangazo lililopo round about ya Mlimani city lina mwanga mkali sana usiku na linawaumiza sana macho madereva wanaotoka ubungo kuelekea Mwenge. Tafadhali wahusika msisubiri accident itokee ndipo mchukue hatua.
Duuuuuuuu.........Tukiona kimya tutafute watoto wa mbwa wakalipasuepasue biashara iishe.
Hawa watu wanatakiwa kuchukua hatua haraka iwezekanavyoKuna lingine lipo Kilwa road kabla tu ya round about ya Mgulani. Lina mwanga mkali sana. Hawa wanaoyaweka wanajua kupata hela tu usalama wa madereva kwao sio muhimu.