Bango la Dr Slaa Lazua Mgogoro UKAWA; CUF Watoa Onyo!

Bango la Dr Slaa Lazua Mgogoro UKAWA; CUF Watoa Onyo!

Chadema wamevaa joho la UKAWA ,CUF msikubali.
 
haya maneno yaliandikwa na viongozi au mashabiki?

Hilo nalo ni swali? Mbinu toka ufipa na ndio mpango wao kuandika hayo mabango na kuwapa wafuasi, Wewe huwajuwi Chagadema ndugu yangu
 
Cuf na wenzao kama wataleta ushabiki kwenye swala la mgombea uraisi
...kuchukua dola wasahau..ukweli ni kwamba cdm ina nguvu sana..sasa unawezaje kusimamisha mgombea toka chama kidogo
 
Hakuna kosa hapo!! Kwani CDM iwe inawafuata wanachama wao majumbani kuwazuia wasije na mabago? Kila chama kinatakiwa kujitangaza hata kuchukuliana wanachama!!

Btw, mleta mada wewe na ACT mnaathirika vipi UKAWA ikifarakana?
 
vipi kuhusu mkono wake tangu alipoanguka umepona kweli? Tunahitaji rais mwenye afya njema kesho akistaafu afanye kazi nyingine kama alivyokuwa mwl Nyerere
 
Chadema wamevaa joho la UKAWA ,CUF msikubali.

Mkuu Mingoi asalaam alaikum,

Hawa UKAWA hawatafika mbali wataanza kutukanana sasa Hivi na watasema CCM ndio chanzo maana wakifarakana ndio jibu Lao kuu

CUF na chadema kamwe hawawezi kuwa wamoja hata siku Moja, sasa CUF imeungana na CCM kuendesha dola na pia ikaungana na Chadema kuunda UKAWA wenye nia hiyo hiyo Ya kushika dola Kweli huu sio unafiki Kweli?

CUF kuna tofauti gani na wale dada zetu wa Ohio, Shekilango na Kinondoni?
 
Jinga sana wewe mtoa mada...kwa sasa kipaumbele cha kwanza ni kuitoa CCM madarakani bila kujali nani atakuwa Rais kupitia UKAWA....Nyambafu wewe...hivi bila kuitaja CDM hupati riziki?
 
Kama hizi zako pia zinaitwa akili basi sishangai kwa nini ndani ya chama kikubwa kama CCM hamjamteua mgombea Urais takribani miezi 4 kabla ya uchaguzi na wote mnaona ni jambo jema tu mnachekelea!!

CCM ni taasisi kubwa mkuu.

By the way, kufanya haraka kunaweza kusisaide. Harakaharaka haina Baraka.

Mbona UKAWA nao bado wananyukana?
It ain't such a way simple.
 
Hatutaki rais dhaifu kama pinda ha hatopata kura asilani.

Nilitarajia ungempinga kwa hoja. May be kaiba hiki, kafisadi hapa e.t.c kama tunavyoletewa ushahidi wa maandishi juu ya Wizi wa Lowasa.

Yaan hafai hivihivi tu?! Ajabu.
 
acha ujinga Pinda yupi? Waziri mkuu analia baada ya albino mmoja kukatwa mkono waka anauwezo wa kutoa amri walifanya kitendo wakafahamika,mbona wauaji wa RPC Mwanza tuliambiwa wanematwa,kwa kulia lia huko je tukivamiwa Rwanda itakuwaje? Wanasiasa wenzie wapigwe tu

Mh! Enyi kizazi cha n*oka, nani kawaroga?

Yaan hamridhiki kusengenya. Mtu akisema WAHARIFU WAPIGWE & KUCHUKULIWA HATUA KALI, Mnakuja juu na slogan yenu "Apigwe tu".

Hivi mkoje ninyiii??, mmekula maharage ya wapi ninyi?????

Na kwa faida yako, kilichomliza Pinda sio tukio la kukatwa mkono kwa albino peke yake, ali ilikuwa ni namna Wabunge wanojiona machachari walivyopinga kauli yake kwamba "anayeua albino naye auawe", ni jambo ambalo liko wazi kabisa.

Sasa wabunge kwa mbuli na kushiba kwao maharage, wakaona pakuchukulia "simple popularity".

UADILIFU & UCHAPAKAZI(UZALENDO) alionao Pinda ndio silaha pekee itakayomlinda ktk jamii yoyote.

Hata asipokuwa Rais(let's imagine that), lakini Charity yake huwez ukaiondoa.
 
Wanasiasa ni
wapiga domo.
''Wasio piga domo ndio walao.''
 
Hatumuhitaji Slaa,aendelee kula hizo hela za chadema.Eti safari za nje zifutwe wakati yeye mwenyewe katokea huko nje,tena hana tofauti na hao ambao kila siku wapo angani kwenda huko nje.kwa ufupi ni kuwa Slaa #Hajitambui
 
Cuf na wenzao kama wataleta ushabiki kwenye swala la mgombea uraisi
...kuchukua dola wasahau..ukweli ni kwamba cdm ina nguvu sana..sasa unawezaje kusimamisha mgombea toka chama kidogo
mkuu ni kwel walivosema hawa vyama washiri vya cuf na vngne kwamba, makubariano ya umoja huo ufuatwe. Ila sasa, kuzuia hisia za mashabiki kwa mtu wanayempenda na kumshabikia ni vigumu na ni wazi kuwa, wanachama wa chadema walowengi hawayajui hayo makubaliano. Hivyo kukituhu chama kwamba kimekiuka makubaliano bila kujua je nimashabiki, au chama kwa ujumla ndo kimefanya hvo si jambo jema kwa umoja huu adhimu.
 
Hatumuhitaji Slaa,aendelee kula hizo hela za chadema.Eti safari za nje zifutwe wakati yeye mwenyewe katokea huko nje,tena hana tofauti na hao ambao kila siku wapo angani kwenda huko nje.kwa ufupi ni kuwa Slaa #Hajitambui
Huyu mzee kachoka sana.Apumzike
 
vipi kuhusu mkono wake tangu alipoanguka umepona kweli? Tunahitaji rais mwenye afya njema kesho akistaafu afanye kazi nyingine kama alivyokuwa mwl Nyerere

Haya nime2miz mabaya ya raslimal wa2. Yani hata kama m2 anaweza kufanya kaz vzuri kwa miaka kumi, et 2mwache kisa hataweza kufanya kaz nyngne baada ya kustaafu? Hii akil au nn? .
 
Wenye akili tulishachungulia nakubaini kuwa, hakuna lolote pale UKAWA zaid ya madaraka tu.

Ajenda zao ktk kumkomboa Mtanzania ni ndogo sana (au hakuna kabisa). ni muendelezo wa Ngonjera zilezile.

Tunataka Rais mwenye maadili na Roho safi(ambaye hata kwa macho ya nyama tunasadiki hivyo).

Kwa UKAWA sijaona kimsingi. hata wale niliowadhania, wamepigwa kikumbo(mfano Mbatia).

Kwa CCM, i'm sure, #Pinda deserves it.

Let the movie get on.

Mungu Ibariki Tanzania.
Amen!
huna tofauti na hao chadema walompokea slaa kwa bango.
 
Mkuu Mingoi asalaam alaikum,

Hawa UKAWA hawatafika mbali wataanza kutukanana sasa Hivi na watasema CCM ndio chanzo maana wakifarakana ndio jibu Lao kuu

CUF na chadema kamwe hawawezi kuwa wamoja hata siku Moja, sasa CUF imeungana na CCM kuendesha dola na pia ikaungana na Chadema kuunda UKAWA wenye nia hiyo hiyo Ya kushika dola Kweli huu sio unafiki Kweli?

CUF kuna tofauti gani na wale dada zetu wa Ohio, Shekilango na Kinondoni?

Naamini kuwa huu umoja ni kwa manufaa ya wote na ndo waliamua kujiunga. Kama walizani watakinufaisha chama furani bas n tatizo. Ila naomba busara zitumike il malengo yatimie ya kuitoa hii serikal dhalimu ya mafisiem.
 
Back
Top Bottom