Bango la biashara.

Bango la biashara.

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,016
Habari wakuu?

Nauza frem ya bati ya bango la biashara lenye kuwaka taa ndani pamoja na stendi yake. Bango lina urefu wa Mita 2 na Upana wa Cm 80 na unene wa Inch 5" yaani (2m×0.8m×5")

Kwa atakayenunua atakwenda ku print tangazo lake analolitaka then atapachika.Bango linapatikana Dar,Bei Tsh 100,000.
NB:Linawaka Taa.

Kwa muhitaji ni pm kwa mawasiliano zaidi.
tapatalk_1522066224047.jpeg
tapatalk_1522066215908.jpeg
 
Back
Top Bottom