donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,130
masaki pale kwa Ras?me nataka ile kali sana uki-smoke tu inaingia mpaka kwenye mifupa kama zile za masaki ni kali sana kimoja tu unasizi.
masaki pale kwa Ras?me nataka ile kali sana uki-smoke tu inaingia mpaka kwenye mifupa kama zile za masaki ni kali sana kimoja tu unasizi.
Kama nakuona vile mwanangu! Oya niachie Chaukucha hicho
Vitabu vyetu Biblia na Quran vinasemaje kuhusu bangi Mwenye kujua anijuze
Umesema SIGARA SAWA, lakini KITU CHENYE MADHARA HAPANA!
masaki pale kwa Ras?
Kama nakuona vile mwanangu! Oya niachie Chaukucha hicho
Mnatuchanganya jamani bangi haifai tu