bange sio mchicha

bange sio mchicha

KACHINJA

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
1,263
Reaction score
870
Unazani akitoka hapo atakuwaje

IMG-20160610-WA0006.jpg
 
Km
Ooh kumbe kikwenu ni bangi badala ya bange
Sawa mkuu
Nasikiaga tu bangi, bange na bhangi sasa sujui nani yuko sahihi na wote hawa ni washahili wenzako. Haina jina kwa lugha yangu maana haipo kwetu.
Ngoja tumtafute aliyesikika akiitetea bungenia atupe jina sahihi.
 
Duh ! kumbe hii kitu hata Meee wanaipenda !
 
Duh ! kumbe hii kitu hata Meee wanaipenda !


Kwa taarifa tu, aliyeanza kuvuta bangi ni mchunga mbuzi. Aliwaona mbuzi wanatembea kula majani ya aina zote, lakini wakifishakula majani ya bangi wanasizi na kuwa wapole sana. I kabidi afanye utafiti kujua, kulikoni? And the rest was history.
 
Huyu mbuzi akitoka hapa atajiona simba...hehee
 
Kwa taarifa tu, aliyeanza kuvuta bangi ni mchunga mbuzi. Aliwaona mbuzi wanatembea kula majani ya aina zote, lakini wakifishakula majani ya bangi wanasizi na kuwa wapole sana. I kabidi afanye utafiti kujua, kulikoni? And the rest was history.
Mkuu umezidi
 
Back
Top Bottom