Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,080
- 103,568
Magari hayana mwenyewe ama wameshindwa kulipa kodi?
Mkuu mpaka sasa huo mshikemshike uko live tbc1. Kila mkuu wa taasisi anasema kapata taarifa ya hayo magari leo asubuhi. IGP Sirro alitaka kujifanya kuyaongelea ila kabanwa kayaka, Boss wa Bandari anajiumauma tu, wa Takukuru anasema kpata taarifa leo asubuhi. Waziri Mpango naye anajiumama tu. Wameambiwa wote watoe ripoti ndani ya siku 7. Rais anasema biashara ya upigaji imerudi kama kawaida. Huwa simuungi mkono rais hasa kwenye demokrasia na mambo fulani fulani lakini kwa hiki namuunga mkono.