Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,702
Bandari ya Dar es Salaam imevunja rekodi kwa kupokea meli iliyobeba mzigo mkubwa zaidi wa shehena ya tani 38,500
Shehena hiyo ya viuatilifu vya sulphur iliwasili jana Septemba 08, 2021 Meli ya Serene Theodore
ShehrSh Kubwa Zaidi ilipokelewa bandarini hapo zaidi ya miaka 10 iliyopita ikiwa na Tani 30,000
Hongera sana Mama Samia
Hongera sana Serikali ya CCM
Shehena hiyo ya viuatilifu vya sulphur iliwasili jana Septemba 08, 2021 Meli ya Serene Theodore
ShehrSh Kubwa Zaidi ilipokelewa bandarini hapo zaidi ya miaka 10 iliyopita ikiwa na Tani 30,000
Hongera sana Mama Samia
Hongera sana Serikali ya CCM