Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,613
- 2,172
Kiuhalisia Jeshi halina nafasi ya kuhoji kwakua linaendeshwa kisiasa na kupokea maelekezo ya wanasiasa.
Amiri jeshi mkuu ni Rais ambae ni mwanasiasa na mwenyekiti wa ccm, na huyo ndo kamteua CDF mkuu wa majeshi
huyu mwenyekiti wa ccm anampa maelekezo CDF na CDF anapokea Kama amri kutoka kwa amiri jeshi kumbuka jeshini hakuna kuhoji ni kupokea maelekezo tu
ukionekana siyo mwepesi kupokea maelekezo huyu mwenyekiti wa ccm anayo mamlaka ya kukuondoa na kumtea CDF mwingine
Duu!KATIBA mpya ni muhimu sana