Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Wakuu mimi najaribu kuwaza tu kwa wepesi wangu wa akili.
Sote tunajua kwamba mambo ya usalama wa nchi na hasa yale yanayohusu jeshi huwa ni siri ya jeshi japo wananchi tuna nafasi yetu ya kushirikiana na jeshi maana nchi ni yetu sote na jeshi ni mali ya wananchi kikatiba.
Sasa swali langu ni pale kunapotokea maamuzi ya mambo fulani fulani yanayofanywa na viongozi wa serikali afu hayo mambo yakawa yanagusa maslahi ya jeshi kwa namna moja au nyingine, jeshi halina nafasi ya kufanya au halipaswi kufanya lolote?
Kwa mfano hili suala la bandari, tunajua silaha na vifaa mbalimbali vya kijeshi inawezekana vinapitia bandarini, sasa kama bandari zitakuwa zinasimamiwa na wageni badala ya serikali yetu, siri za jeshi letu haziwezi kuvuja?
Naomba kuwasilisha.
Sote tunajua kwamba mambo ya usalama wa nchi na hasa yale yanayohusu jeshi huwa ni siri ya jeshi japo wananchi tuna nafasi yetu ya kushirikiana na jeshi maana nchi ni yetu sote na jeshi ni mali ya wananchi kikatiba.
Sasa swali langu ni pale kunapotokea maamuzi ya mambo fulani fulani yanayofanywa na viongozi wa serikali afu hayo mambo yakawa yanagusa maslahi ya jeshi kwa namna moja au nyingine, jeshi halina nafasi ya kufanya au halipaswi kufanya lolote?
Kwa mfano hili suala la bandari, tunajua silaha na vifaa mbalimbali vya kijeshi inawezekana vinapitia bandarini, sasa kama bandari zitakuwa zinasimamiwa na wageni badala ya serikali yetu, siri za jeshi letu haziwezi kuvuja?
Naomba kuwasilisha.