mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,469
Ndugu Mungu ni mtaalamu sana katika umbaji wake alitumia sayansi ya hali ya juu mno sasaa, naombeni kwa yeyote anayefahamu namna hiki kiungo kilivyosetiwa mwilini na kunavyomsaidia mtu kucheka.
1.Kikiondolewa kina madhara?
2. Ukila, au usipokula nini kunapunguza utendaji kazi?
3. Wanaocheka sana wana bandama nzuri nzuri zaidi? Maana kuna watu wanacheka kweli
4. Je wasiocheka wana matatizo ya bandana?
1.Kikiondolewa kina madhara?
2. Ukila, au usipokula nini kunapunguza utendaji kazi?
3. Wanaocheka sana wana bandama nzuri nzuri zaidi? Maana kuna watu wanacheka kweli
4. Je wasiocheka wana matatizo ya bandana?