Bandama mwilini, inasaidiaje mtu kucheka

Bandama mwilini, inasaidiaje mtu kucheka

Mkuu omba utolewe bandama alafu uone kama utacheka kama sio unaleta u dr feki hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Social media imewapa sana kiburi hata watu ambao hawana uelewa wa chochote kujiona na wao ni mabingwa wa kila kitu.
Huo muda uliotumia kuniita dr feki ungeutumia tu ku google "kazi za bandama" usingeandika ulichoandika.
Ndo hivyo tena, inabidi tuwe wapole katika hizi zama ambazo we have smart mobile phones, but some people who are dumber than the smart phones
dottoz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom