Dah hawa jamaa siwatamani kbs nilifanya kazi nao karibu mwaka naa naenda kufwatilia nssf yangu naambiwa kapeleka laki2 na yenyewe siwez kuipata... bora wawafungie hawa waongoze tena
Dawa kuwapeleka mahakamani tu. Hapa nasubiri kwa hamu nione ndani ya huo mwezi kama wanatuhamisha kwa mwajili halali au la. Haiwezekani mtu unaenda Maternity Leave wanakunyima mshahara! Ukiomba likizo unapewa wiki mbili, siku zikipita mwaka zimepotea wakati sheria ya kazi inataka siku za likizo zihamie mwaka mwingine! Mshahara miaka mitatu umegota kwenye laki nne tu Graduate mzima!