Ban Ki-Moon sympathises with Tibaijuka

Ban Ki-Moon sympathises with Tibaijuka

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, bwana Ban Ki-moon amemshangaa mama Tibaijuka kutokana na kashifa zinazomkabili.

Kwa wasiofahamu, waziri Tibaiujka aliwahi kufanya kazi chini ya Ban Ki-moon akiwa kama Mkurugenzi wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika makazi, UN Habitat.

CHANZO:Magazeti Channel 10.
Professor Mama Tibaijuka. 1.6bn ni mchango mkubwa unaovunja rekodi ya kuchangia shule kwa historia ya Tanzania. Tena shule moja tu, mali yako. Nadhani ungejikalia kimya tu upepo upite. UN hakuna mianya ya kuiba,wala usijisifie kuwa hukuiba shauri ya uadilifu, ni kuwa hukuweza. Unapewa 1.6bn just like that halafu hujiulizi mbona hizi nyingi hivyo?. Rugemalila humjui?
 
Hahaaaa wanajipongeza
 

Attachments

  • 1417333740053.jpg
    1417333740053.jpg
    30 KB · Views: 450
Kwa maoni yangu kwa haya maneno huyu mama anamdhalilisha Ban Ki-moon pia kwani kwa maelezo haya ni kama Ban anabariki wizi kitu ambacho sidhani kama sahihi!

Sidhani kama Ban kimoon anaweza kumuonea huruma mtu ambaye amefanya kazi UN na anajua sheria za UN zilivyokali kuhusu UADILIFU wa mfanyakazi wao awapo kazini, likizo na hata kiretire.Mama yetu huyu amechemka, na asiaingizie wivu wa NEC nk nk.Ajilaumu mwenyewe, ajue shule ya darasani haitoshi lazima ajue na shule za.mitaani, matapeli nk nk.Mjini shule.
 
Kwa maoni yangu kwa haya maneno huyu mama anamdhalilisha Ban Ki-moon pia kwani kwa maelezo haya ni kama Ban anabariki wizi kitu ambacho sidhani kama sahihi!

Sidhani kama Ban kimoon anaweza kumuonea huruma mtu ambaye amefanya kazi UN na anajua sheria za UN zilivyokali kuhusu UADILIFU wa mfanyakazi wao awapo kazini, likizo na hata kiretire.Mama yetu huyu amechemka, na asiaingizie wivu wa NEC nk nk.Ajilaumu mwenyewe, ajue shule ya darasani haitoshi lazima ajue na shule za.mitaani, matapeli nk nk.Mjini shule.
 
Chezea pesa za walipa kodi, utakiona cha ntema kuni na bado!
 
Mkuu ufanyia tathimini mahususi hili pandiko lako?? Maana ukisema wahaya 99%, mmm fanya upya ukokotoaji mkuu..
Utakua mhaya ww, lakini ucjali nimekuweka kwenye 1%
 
UN kuko smart & clear! huwezi iba!! sasa huyu prof. kaja na njaa zake ngoma imebuma! namuonea huruma sana. pesa anatamani na heshima anataka! hapo achague moja tu!
 
Sidhani kama Ban kimoon anaweza kumuonea huruma mtu ambaye amefanya kazi UN na anajua sheria za UN zilivyokali kuhusu UADILIFU wa mfanyakazi wao awapo kazini, likizo na hata kiretire.Mama yetu huyu amechemka, na asiaingizie wivu wa NEC nk nk.Ajilaumu mwenyewe, ajue shule ya darasani haitoshi lazima ajue na shule za.mitaani, matapeli nk nk.Mjini shule.
Mchunguzeni zaidi huko UN aliondoka Kwa Matatizo na siyo hiyari
 
SIMBAMTOTO namshangaa sana huyo dada yangu, kama kiongozi kwa nini usichunguze fedha zimetoka wapi??
Rugemalira kazipata wapi, with all the security services at her disposal??
Huwezi kudanganya watu kwamba hukujua, kama ni hivyo azirudishe hazina maana ni za wizi!!
Ushauri wa Mwigulu eti wazilipie kodi sikubaliani nao, let these guys surender the Govt money, it was stolen from the Govt cofers period!!
Walitoa huduma gani hadi walipwe hivyo??
Wamepokea fedha za wizi ni wezi pia!!
 
Last edited by a moderator:
Boflo samahani tena acha matusi, Wahaya wengi wanajiheshimu na si wezi, wanaishi kwa vipato halali!!
.Wizi sio kabila ni tabia za watu!!
Bukoba kijijini ukiwa mwizi hutadumu, utakufa waulize Wahaya kama uko karibu nao!!
 
Last edited by a moderator:
Mchunguzeni zaidi huko UN aliondoka Kwa Matatizo na siyo hiyari

Huyu muda wake wa retire ulikuwa umefika.Nadhani hakucheza karata zake vizuri kwenye issue za SIASA.Hakujua kwamba kuingia kwenye siasa lazima uwe mjanja na usome nyakati.Alishindwa alijivunia zaidi usomi wake na experience yake.Hakujifunza NYAKATi,kwamba tuko kwenye kizazi cha kuhoji na kutafiti UKWELI na UWONGO,hapa ndipo wanasiasa wetu wa kizazi cha kianalogia wamesahau kufika na kupasoma.

KWa hili nadhani sasa wengi watawaachia rika la vijana na watu walivuka ujana kwa miaka michache nyuma.Yaani kuanzia 50s kurudi nyuma zaidi mpaka 45 tu hawa ndiyo wengi wataingia kushindana na kizazi cha miaka 40-24
 
I concur mkuu! Kunapokuwa na transfer ya ownership ya asset yeyote si cash peke yake, ardhi, gari etc lazima kodi ilipwe na mmiliki mpya. So hata kama ingekuwa pesa safi huyu mama alipaswa kulipa income tax. Bahati mby ni ya wizi so aturudishie pesa yetu yote mapema sana!

Inabidi kwa sasa wanasiasa wetu wawe waangalifu maana na hofu mwisho wa siku tutaibariki au kuihalalisha RUSHWA,HONGO na UFISADI kwa kielelezo cha kulipa KODI
 
Inabidi kwa sasa wanasiasa wetu wawe waangalifu maana na hofu mwisho wa siku tutaibariki au kuihalalisha RUSHWA,HONGO na UFISADI kwa kielelezo cha kulipa KODI
Hamna kitu mafisadi walimfunga pingu long time ago, remember statements on Palm beach plot and return of empty spaces
 
SIMBAMTOTO namshangaa sana huyo dada yangu, kama kiongozi kwa nini usichunguze fedha zimetoka wapi??
Rugemalira kazipata wapi, with all the security services at her disposal??
Huwezi kudanganya watu kwamba hukujua, kama ni hivyo azirudishe hazina maana ni za wizi!!
Ushauri wa Mwigulu eti wazilipie kodi sikubaliani nao, let these guys surender the Govt money, it was stolen from the Govt cofers period!!
Walitoa huduma gani hadi walipwe hivyo??
Wamepokea fedha za wizi ni wezi pia!!

attachment.php


Hakujua mambo yangebadilika, ndiyo maana wanashangilia kwa kusakata rhumba na mfadhili wake.
 
Hamna kitu mafisadi walimfunga pingu long time ago, remember statements on Palm beach plot and return of empty spaces

Aliyechukua OPEN SPACE ni mwenzake na kama si mwenzake ni mtu mwenye pesa yake,hivi mimi kalaghabaho nikachukue open space si nitaikuta nyumba iko chini?

Viongozi wetu wanadhana mbaya ya kujitajirisha bila kufikiria kesho kuna wajukuu zao au vitukuu vyao.
 
Back
Top Bottom