Kwa kweli, hata mimi nilikuwa namkubali sana huyu mzee, na nimeyatazama mapambano yake mengi, ni ya kuvutia sana, yaani sikuchoka kuyatazama, mara kwa mara.
Hasa mapambano yale aliyopigana na marehemu (naye, kwa sasa) Joe Freizer.
Apumzike kwa Amani. Amina!
Ahsante