BAMARDAS.TV Mje Dar es salaam

BAMARDAS.TV Mje Dar es salaam

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
783
Wana bodi,

Tunawaomba bamardas.tv mje dsm bhana. Tukienda mkoani tunaenjioy sana TV station za kumwaga tena nzuri kwa bei nafuuZ kabisa kwa mwezi.

Mpaka Chanel za mpira masaa 24 EPL LALIGA EPL LA LIGA SERIE A UEFA n.k mfano canal+sport ipo ndani ya bamardas TV.


Nilikuwa Dodoma nimeona fresh kabisa Mwanza napo pia fresh kabisa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom