Mindi ni mtoto wa mdogo wake mama Mkapa as jk amempatia ulaji kaama heshima kwa familia ya Mzee Mkapa,na alisomeshwaga na kukulia kwenye mikono ya Mkapa
Nyambala,
Tafadhali baelezee! Na our thinking pattern is amazing! Tujiunge kwenye ofisi zenye opportunity tule hela za deal! Mhh!
Mindi ni mtoto wa mdogo wake mama Mkapa as jk amempatia ulaji kaama heshima kwa familia ya Mzee Mkapa,na alisomeshwaga na kukulia kwenye mikono ya Mkapa
kwa sisi watoto wa wakulima, tuliosomea kwenye mikono ya Wawindaji., tutatokaje.
watu mna haraka utadhani mmetoka vitani, halafu ghafla mmekutana na wapenzi wenu, mweeee!
mbona hamtuambii ni nani huyo?
Kwani Tanganyika ina mabalozi nje. We jichanganye uende kwenye hizo office utakoma. We kama uko nje jijue uko pekeyako.:shock:
Kwani Tanganyika ina mabalozi nje. We jichanganye uende kwenye hizo office utakoma. We kama uko nje jijue uko pekeyako.:shock:
Ingekuwa nchi zinazojali demokrasia na maadili sherehe hii ingefanya Lukuvi na Nchimbi kujiuzulu. Kama mnakumbuka World bank president Paul Dundes Wolfowitz alilazimika kujiuzulu baada ya kukumbwa na kashfa ya kumpatia mpenzi wake Shaha Riza nafasi nzuri ndani ya world bank.
Pichani ni Mindi kasiga akisheherekea kuteuliwa kwenda kufanya kazi ubalozi wa Tanzania Marekani. Ni sherehe ambayo inaonesha kuwa mtu huyu yupo karibu sana na viongozi kiasi kwamba amezawadiwa nafasi ya kwenda kuishi washington kwa kodi za watanzania.
BADO TUNA SAFARI NDEFU SANA WATANZANIA. SIHOJI UHALALI WA MINDI KUTEULIWA WALA QUALIFICATION ILA NAHOJI KUONA WATU WENYE INFLUENCE KATIKA KUFIKIA MAAMUZI YA KUTEUA WATU WAKIWA KATIKA WIMBI LA KUJIRUSHA NA VIMWANA WAKISHEHEREKEA MTU MMOJA KUPATIA NAFASI NA SERIKALI YA KWENDA KUISHI USA KWA KODI ZA WALALAHOI. INGEKUWA KWA WENZETU HAWA WOTE WANGEKWENDA NA MAJI KWANI INAONDOA PUBLIC TRUST KWENYE SERIKALI YAO.