Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 817
- 514
Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanziabar (ZIPA) imekutana na Balozi wa Tanzania Nchini Comoro Balozi Said Yakubu aliyefika Ofisi za ZIPA Maruhubi Kujitambulisha
Balozi huyo ambae ameambatana na watendaji kutoka Idara ya Mambo ya Nje Tanzania amesema kuteuliwa kwake kuwa Balozi wa Comoro ni muendelezo wa historia ya kiuchumi iliyoanzishwa na waasisi wa Nchi mbili hizi Comoro na Tanzania
Amesema Tanzania inafaidika na biashara ya mazao ya nafaka na kilimo inayopanua wigo wa kiuchumi kwa wananchi wake hivyo ZIPA haina budi kuziendeleza fursa hizo za Uwekezaji katika nyanja nyingine ikiwemo usafiri, miundomninu na Nyumba za makaazi
Nae kaimu Mkurugenzi Mtendaji ZIPA Ndg. Vuai Yahya Lada amesema Balozi za Tanzania nje ya Nchi zina mchango mkubwa kwenye Uwekezaji kutokana na makongamano na mikutano inayoandaliwa na balozi hizo kwani huzaa Wawekezaji wanaokuja kuwekeza nchini.
Balozi huyo ambae ameambatana na watendaji kutoka Idara ya Mambo ya Nje Tanzania amesema kuteuliwa kwake kuwa Balozi wa Comoro ni muendelezo wa historia ya kiuchumi iliyoanzishwa na waasisi wa Nchi mbili hizi Comoro na Tanzania
Amesema Tanzania inafaidika na biashara ya mazao ya nafaka na kilimo inayopanua wigo wa kiuchumi kwa wananchi wake hivyo ZIPA haina budi kuziendeleza fursa hizo za Uwekezaji katika nyanja nyingine ikiwemo usafiri, miundomninu na Nyumba za makaazi
Nae kaimu Mkurugenzi Mtendaji ZIPA Ndg. Vuai Yahya Lada amesema Balozi za Tanzania nje ya Nchi zina mchango mkubwa kwenye Uwekezaji kutokana na makongamano na mikutano inayoandaliwa na balozi hizo kwani huzaa Wawekezaji wanaokuja kuwekeza nchini.
Attachments
-
20240514_175508_InSave_0.jpg72.3 KB · Views: 2
-
20240514_175508_InSave_1.jpg170.8 KB · Views: 2
-
20240514_175508_InSave_2.jpg130.3 KB · Views: 3
-
20240514_175508_InSave_3.jpg109.2 KB · Views: 3
-
20240514_175508_InSave_5.jpg69 KB · Views: 3
-
20240514_175508_InSave_4.jpg141.8 KB · Views: 2
-
20240514_175247_InSave_5.jpg69 KB · Views: 2