figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Spika wa Bunge, Job Ndugai amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania Nchini Sweden, ambaye ni mwanachama wa JamiiForums Dkt. Willibrod Slaa ambaye amemtembelea Spika nyumbani kwake jijini Dodoma.