Balozi wa Tanzania nchini Israel abadili Dini?

Usiogope hoja; kwani Job Masima kakupigia simu kukueleza kabadili dini? Kwani kila mtu anayesema Bwana Asifiwe ni mkristo? Au anayesema Asalaam aleikum ni Muislamu?
Duh kuna tatizo la Watanzania wengi kutokuelewa maswali au hujifanya kuelewa kabla Hawajamaliza kusoma swali au kusikiliza swali lililoulizwa wewe ni mmoja wao unajifanya much know sana kumbe huelewi.. kama job angenipigia simu nisingeweka alama ya ? So inaonesha una tatizo upande wako hata Darasani utakuwa ulipata shida sana.

Mifano yako ya Bwana asifiwe au Asalam Aleikum haiingii na kufanana na maneno ya Balozi kwani sio Salam alizotoa hapo...

Ukimkubali Allah na Muhammed kama ni messenger wake hapo hapo unakuwa Muislam na kwa Ukristo ukiKubali Yesu ndie Mwokozi unakuwa Tayari Mkristo lakini sio kuweza kufika Mbinguni so lazima Upractise dini hizo ... hapo videooni balozi kafuata kinachotakiwa katika dini ya kiyahudi... ndio nimeuliza wajuzi wanijuze.. zilizofuata ni pumba za kipumbavu tupu akili za watanzania
 
Duh kuna tatizo la Watanzania wengi kutokuelewa maswali au hujifanya kuelewa kabla Hawajamaliza kusoma swali au kusikiliza swali lililoulizwa wewe ni mmoja wao unajifanya much know sana kumbe huelewi.. kama job angenipigia simu nisingeweka alama ya ? So inaonesha una tatizo upande wako hata Darasani utakuwa ulipata shida sana.

Mifano yako ya Bwana asifiwe au Asalam Aleikum haiingii na kufanana na maneno ya Balozi kwani sio Salam alizotoa hapo...

Ukimkubali Allah na Muhammed kama ni messenger wake hapo hapo unakuwa Muislam na kwa Ukristo ukiKubali Yesu ndie Mwokozi unakuwa Tayari Mkristo lakini sio kuweza kufika Mbinguni so lazima Upractise dini hizo ... hapo videooni balozi kafuata kinachotakiwa katika dini ya kiyahudi... ndio nimeuliza wajuzi wanijuze.. zilizofuata ni pumba za kipumbavu tupu akili za watanzania
Unatoka Povu baada ya kujigundua umechemka. Acha nikupuuze kwa kuwa Wewe unajua sanaaaaa.
 
Uyahudi, ni dini yenye utofauti, mpaka uwe umezaliwa myahudi. Usitegemee Mnyakyusa atatoka Tukuyu Mnyambo wa Karagwe,apigwe neno Jerusalem awe Myahudi.
Yes mkuu let me tell you one day usije Shangaa hao unaodhania ni wanyakyusa siku ukiambiwa ni wayahudi usijetokwa mapovu... wayahudi au Waisrael Walitawanyika karibu dunia nzima so kila siku wanagunduliwa tu na Kupimwa DNA wakifanana hupewa uraia hapo hapo kuna sheria huko law of return. WaIsrael wapo wahindi, Wachina n.k even Netanyahu yeye ni Khazar kwao ni Georgia zamani ilikuwa ndani ya Ussr na wao waliconvert kuwa wayahudi.. so wewe ni mweupe kihistoria pls be carefully na ujifunze mtu anapouliza swali anahitaji ufahamu fulani na sio kupuuzwa... unalofahamu wewe mwingine anaweza asilifahamu
 
Unatoka Povu baada ya kujigundua umechemka. Acha nikupuuze kwa kuwa Wewe unajua sanaaaaa.
Sijawahi kuchemka katu na kitu nisichofahamu huwa nauliza.. so nyie haswa wewe na wapumbavu wenzio ndio mapovu yamewatoka kwangu usije umelewa nakufurusha
 
Wengi wanajibu lakini hata kilichoandikwa hawajakielewa.

Huyo mimi nasema anajipendekeza tu.

Ni mtu asiyethamini asili yake.
 
View attachment 524679 View attachment 524680 View attachment 524678 surprises president with Hebrew prayer
Job Daudi Masima, Tanzania's first ambassador to Israel, dons kippah, greets Israeli President Reuven Rivlin with Hebrew prayer.

Arutz Sheva Staff, 15/06/17 20:03



Video Player

00:02 | 00:44

President Reuven Rivlin welcomed four new diplomats to Israel in a ceremony on Thursday, receiving their diplomatic credentials at the President’s Residence in Jerusalem.

New ambassadors from Nepal, Honduras, Brazil, and Tanzania met with President Rivlin, marking their formal beginning of their service in Israel.

This marks the first time ever that Tanzania, an east African country of some 52 million, has an active embassy in the Jewish state.

Israel and Tanzania established diplomatic ties in 1995, following a 22-year hiatus which began during the Yom Kippur War, though no ambassador from Tanzania was ever sent to Israel.

Watch: Tanzanian Amb. surprises president with Hebrew prayer
kilazer butu ktk ubora wako
 
Ee Baba Mungu utuhurumie, Tanzania kuwa na raia mzigo kama huyu mleta mada ni laana, tatizo KKK, hiyo kofia ni vazi la Kiyahudi ambalo wageni mbalimbali wakitembelea Israel wanapewa kama heshima, hata Trump juzi alipewa hicho kibaraghashia cha kiyahudi.
Huyu ndie yule alievaaga MASKI..?
 
Kwanza jamaa hawapendi kuingilia imani yao,
kubadili dini kuwa myahudi sio process ya siku moja
 
Back
Top Bottom