Itakuwa aibu kubwa sana !Katika kuendeleza diplomasia duniani. Mwanataaluma, Mheshimiwa Prof Balozi Benson Bana anatajwa kama Mkurugenzi Mkuu ajae wa Shirika la Umoja wa Mataifa - UNESCO.
Una nongwa sana. Sijui kwaniniItakuwa aibu kubwa sana !
Mama wa bilioni 10 pesa ya mboga. Mgao wa escrow hawa ndio watanzania waliotuibia sanaIn fact atafaa sana. Dada yake profesa Anna alituwakikisha vyema UN habitat. Aongezee tu kaphd kengine. Nipo kamachumu bay
Achana nae. Wivu unawasumbua sana Chadema.Una nongwa sana. Sijui kwanini
SureHana faida kwetu
Kwan akipata hiyo kazi we na kale kamama kako mtaEnjoy nini?? Uchawa tu unakutesa mbwa weweAchana nae. Wivu unawasumbua sana Chadema.
Nilijidanganya kuwa UN hupata watu makini. Kumbe hata takataka hupata nafasi huko!Achana nae. Wivu unawasumbua sana Chadema.
Ulitaka apewe Mwehu Lissu? Ahahahahaha!!!Nilijidanganya kuwa UN hupata watu makini. Kumbe hata takataka hupata nafasi huko!
Wawape watu sahihi sio hilo jizee lisilo na maana yoyote.Ulitaka apewe Mwehu Lissu? Ahahahahaha!!!
Unamfahamu Dr Bana ?Una nongwa sana. Sijui kwanini
Ninatuma taarifa zake UN usiku huu huu ili waachane naye , huyu hafai kabisaaaaNilijidanganya kuwa UN hupata watu makini. Kumbe hata takataka hupata nafasi huko!
Ahsante kwa kukubali Lissu ni mwehu na hastahili!Wawape watu sahihi sio hilo jizee lisilo na maana yoyote.
Lissu anakutesa sana maishani?Ahsante kwa kukubali Lissu ni mwehu na hastahili!