Tetesi: Balozi Prof Benson Bana (PhD) atajwa kuwa Boss ajaye UN

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,568
32,225
Katika kuendeleza diplomasia duniani. Mwanataaluma, Mheshimiwa Prof Balozi Benson Bana anatajwa kama Mkurugenzi Mkuu ajae wa Shirika la Umoja wa Mataifa - UNESCO.

Dr_Benson_Alfred_Bana.jpg

Profesa Benson Bana​
 
Back
Top Bottom