Jukwaa la Siasa
Nani alimuua Jiwe? Uzi 2/100 UZI HUU HADI 12/100 NTAZIWEKA KWA SOME CODES NIMESHAURIWA HIVO MAANA TCRA WAMEANDAMA POTE HAPA
•••
britanicca
#1
Nilikuwa nafanya uhariri maana nilitest Kionjo fulan wakautoa hapa hapa
Tutaelewana baadae na tutakolezana Kama wine 🍷
Anayehusika na kifo cha Jiwe ni mzee wa hapo Dar kwa juu
Imepita miaka 4 na siku kadhaa toka aliewahi kuwa rais wa malawi ,afariki huku kifo chake kikiwa cha ghafla mno na kilichoshangaza sana kutokana na kufichwa fichwa kwa taarifa zake, hapo awali na cha kushangaza alifariki tarehe tofauti na aliyo Tangazwa,
Baada ya Jiwe na Mchekacheka walianza kutofautiana mwaka 2018 baada ya mchekacheka kufilisiwa baadhi ya mali zake alizokuwa anamiliki kimagendo na hapo nyingi zikiwa kwenye Majina yasiyo yake ndipo masuala ya kuwindana yanaanza alipoanza kuanzisha vikundi ndani ya serikali ili kuakikisha anapambana na mrithi wake,
NAJABI alihusika Kama mtu wa afya kummaliza hata zile fiction za kwamba MABWEYO MNEZA alikuwapo ni uongo mtupu!
Wanaoujua ukweli huu ni
BARISHU, NAJABI, HATA DAKTARI WAANDAMIZI WA MNEZA wanajua maana wale ni vitengo, maana daktari Pita aliambiwa atoke nje wakati JIWE akiwa bado hai akabaki ndani na NAJABI, na Mzee mmoja maarufu Kama KIKWEMUSI hapo mjini .
KWANINI BARISHU alijua na hajasema popote, was the one controlling the country kwa SIMU na wengine wakiwa kwenye harakati zingine, Hivo naye alijikita zaidi kwenye masuala ya uchu wa madaraka Kivyake bila kujali naye hataguza maana wanaousuka mchezo wanajua utaishia mikononi kwa nani
MSG huyu anayefadhiri Mpaka timu za mipira naye ni miongoni mwa watu ambao wakiwekwa kati ataeleza jambo maana Mali zoote mnazoona 40% ni za ile familia ya Cheka Cheka , na kwenye kupitia magumu walipitishwa wote kwa pamoja !
Pamoja na Ukatili wa JIWE Ila bwana Cheka Cheka alitumia mbinu kadhaa
1. Mtandao wa walinzi ambao hata hapo awali ilibidi wabadilishwe mkubwa alindwe na baadhi ya watu wa PAULO hapo jirani
Kuna kipindi JIWE alifika hatua akapata mazungumzo ya moja kwa moja na baadhi ya watuhumiwa aliodhani nao pia wanashirikiana na MCHEKACHEKA akawahoji wakaonekana hawana madhara wakawaacha Mfano GUREMALILA, naye JIWE alimweka mtu kati kuona Kama Jamaa ana uhusiano na MCHEKACHEKA, baada ya kuona anawindwa sana ndipo wakaamua kuingia kazini,
2. Baada ya Kifo chake kuna watu hawakujua mchezo Mzima wengine wakatamani Jeshi Lishike nchi maana msaidizi wa Rais wa malawi alikuwa kwanza ni mdhaifu , hajitambui, mlevi kupindukia (hii ndo imemtoa mapingiri kutoa siri hizo) basi ndipo simu ikatoka kwa mla firigisi kwamba usiogope, simu ikapigwa na kwa Mwabweyo kwamba mpango wa baadhi kupindua katika na wengine kutaka jeshi kuchukua nchi ya malawi yeye atoe kauli Mara moja na akapewa pesa , tena ikumbukwe hata mwabweyo alikuwa naye haziivi na Jiwe siku za mwishoni maana alikuwa anamtimua isingekuwa kushauriwa na wastaafu kadhaa kwamba Mkuu wa Makruta hatimuliwi hivi hivi ,
Kwanini Alitaka kumtimua, kwa sababu alitumia mgongo wa Jeshi la Malawi tenda namba 75/7JQW kujipatia Pesa Afrika kusini kwa jina la Jeshi la malawi kumbe ni Mali binafsi,
Tarehe 22/02/2021 Nyumbani Kwa mwabweyo kulikuwa na ugeni wa ghafla tena usiku kumbe ilikuwa ni kukagua na kumkuta na Mali nyingi na kuchunguza account number 2*********07 Ina ukwasi Mkubwa ulioingia Mara moja kutoka huko kusini ni tenda ! Alifisadi, naye zilikuwa zimeshaacha kuiva na JIWE!
Hapo baada ya kuambiwa na akaongezea mpunga na wana mtandao ikabidi atulie na Pesa Zikifika kwa Mchekacheka na Rost Tamu, na hii ni baada ya NAJABI kumaliza kazi ya kumsumisha JIWE hapo MNEZA, na familia ya JIWE haikuambiwa kitu kwanza ,
Mwingine anayejua kwamba kwanini JIWE alifariki na nini kilimuua,
Baada ya JIWE kuaga dunia kuna report Mama wa malawi akasema isomwe kuna wizi umefanyika ni kweli kuna wizi ulikuwa inaendelea wakati hawajatangaza kifo, na waliohusika wanajulikana na Mwingine ambaye alisaini kwa shinikizo ni mburundi ambaye aliambiwa kwamba asaini, sasa kwenye zile reports wakaona kana kwamba naye Yumo ndo akaishia kuwa msaidizi Kama zawadi na report ikafa kibudu, ndo maana ha kumaliza muda wakasema wamweke pembeni, Ila mchezo Mzima aliugundua hata kama hakuwa sehemu ya mchezo !
Ntaendelea ngoja ni hariri zaidi
Britanicca12:17