fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,025
huyu babu miaka karibia 95 eti anataka madaraka ya uwaziri tena,,,,,,,,hivi hawajuagi kuwa kuna kustaafu?,,,,sasa ikitokea ukawa wameshinda hawa kina mbowe watapata hata unaibu waziri kweli,,,?
Eti ikitokea, unajua tu kuwa CCM hamna kitu mwaka huu, na ndiyo maana Mwenyekiti wenu aliwambia mjiandae Kisaikolojia.