TANZIA Balozi Juma Mwapachu afariki Dunia

Alitupa raha sana Tanga, mid 90s kwa kutuletea lacasa chica
 
Mbona swali la kawaida sana.
Pole kwa msiba.
Kuuliza ''ni nani huko daslamu''.

Ni kauli ya utani wa kujifanya mjanja, iliyojaa dharau na kejeli.

Mara nyingi muulizaji anakuwa anajua, ila anauliza kujifanya kwamba yeye yuko bize sana hafuatilii mambo ya 'daslamu' kwa sababu anayapuuza.

Swali hili huulizwa sana wanapohusika waigizaji, wasanii au watu fulani wa social media.

Juma Mwapachu alikuwa kiongozi wa kitaifa.

Ni ujinga na ulimbukeni kuuliza kwa staili hiyo.
 
Niko msele kwanza
Dar mvua

Ova

Watu wa zamani na alio karibu nao ndio wanamjua, wengine hawamjui kabisa. Usipangie watu maswali.
Usifikiri kila kinachokuumiza kinaumiza wengine pia, utateseka sana.
 
Watu wa zamani na alio karibu nao ndio wanamjua, wengine hawamjui kabisa. Usipangie watu maswali.
Usifikiri kila kinachokuumiza kinaumiza wengine pia, utateseka sana.
Mbona nimefafanua vizuri.

Mimi sijaumizwa na chochote, nilikuwa naelezea uhalisia ulivyo.

Tatizo lako hauzingatii logic, unatumia hisia, labda ndivyo wanawake wengi mlivyo.
 
Wewe ndio unatumia hisia, ndio maana swali la kawaida kabisa unapanic.
Madam, ukawaida wa swali uko wapi?

Anapoongelewa mtu kisha unauliza, ''ndiyo nani huko daslam''

Kwani watu wote ni wa daslam?

Mtu humjui, halafu unakurupuka kusema ni wa ''daslam''

Huo ni ulimbukeni wa kishamba.

Kujifanya mjanja kumbe mjinga.
 
Hafu isitoshe maelezo yamemuleezea kwakina Marehemu,halafu anauliza ninani huko Dsm?
 
Nilitania tu; sijui asili yake ni wapi kwani majina ya Mwapachu unaweza kukuta ni ya Mbeya; ila Juma alizaliwa Mwanza. Sasa sijui wazazi wake walitokea wapi.
Kwao ni Tanga,Yeye alizaliwa Mwanza wakati baba Yao alipohamishiwa huko Mwanza ili kumuweka mbali na harakati za uhuru.
Bakari alikuwa wa Kwanza yeye wa pili
 
Madam, ukawaida wa swali uko wapi?

Anapoongelewa mtu kisha unauliza, ''ndiyo nani huko daslam''

Kwani watu wote ni wa daslam?

Mtu humjui, halafu unakurupuka kusema ni wa ''daslam''

Huo ni ulimbukeni wa kishamba.

Kujifanya mjanja kumbe mjinga.
Ujuaji fulani lakini mtu wa sampli hiyo huwezi kumwelewesha, itakua sawa na kumpigia mbuzi kitaa, better not to argue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…