Balozi Dkt. Slaa atoa somo

Balozi Dkt. Slaa atoa somo

Kulingnisha familia na nchi is too low for Dr. Slaa. Mambo yanayotendeka hapa siyo mambo ya kawaida yanayoweza kutokea kwenye familia ambayo yaweza kusuluhishwa. Siamini kuwa Dr. Slaa haoni hii hali. Na siamini kwamba yeye mwenyewe pamoja na kuwa serikalini amepata amani. Mimi nadhani jambo jema kuliko yote Dr. Sala analoweza kulifanyia taifà hili kwa sasa ni kuacha kuxungumzia mambo ya siasa. Naamini anatumika kufanya hivyo kwa manufaa ya watu waioshindwa kujijengea ushawishi wa kisiasa kama alivyotumika wakati wa uchaguzi 2015 lakini ajue kama mtu aliyepata kuheshimika anawaumiza sana wale waliopata kumheshimu na kujidhalilisha pia.
 
Huyu ndio binadamu na mtanzania wa kwanza kuvunja viapo viwili vigumu sana. 1 alivunja na kulitupilia mbali joho la ukasisi na upadre akauona ni upadre UCHWARA. 2 alivunjilia mbali ndoa ya kanisani na kuiona ni ndoa UCHWARA na kuamua kukaa na kimada, na mwisho huyu ndio alietuletea msamiati tata wakuchekesha,kukaraisha na kufedhehesha. Eti alisema hivi: UKIHAMISHA CHOO KUTOKA CHOONI NA KUKIPELEKA SEBULENI! SEBULE ITANUKA ZAIDI KULIKO CHOONI. yaani
 
Jana nimeona video za Dkt Slaa kwenye social media ambazo alihojiwa na wanahabari baada ya mkutano wa viongozi wa SADC uliofanyika jijini Dar es salaam Tanzania. Dkt Slaa kwenye video hizo amezungumza mambo mbalimbali hususani mambo ya kiuchumi na mambo ya kisiasa ambayo msingi wake mkubwa ni UZALENDO.

Dkt amejaribu kutoa elimu kuwa kunapokuwa na mambo ya ndani ya nchi basi yazungumzwe ndani ya nchi. Kama ni kuchapana fimbo tuchapane humu humu na kamwe tusitoe mambo yetu nje. Amesema kutoa mambo yenu nje ni kuruhusu mianya ya kuwapenyeza watu wanaozitamani rasilimali zetu kwa ajili ya nchi zao.

Mambo mengine ya Diplomasia ya kimataifa tuwaachie Ambassadors na Consular agent(Wanadiplomasia ya uchumi) waendelee nayo huko.

Ametoa somo zuri lakini linamwelekeo wa mrengo mmoja uliompa kula.
Anapo sema mambo ya ndani ya nchi yazungumziwe nadani, hilo haliwezekani kwani ukijaribu kuangalia watu wote waliojitokeza na kuzungumza au kukosoa serikali walipatwa na mazito yakiwemo kutekwa na kupoteza, kutekwa na kuteswa, kutekwa na kuuwawa na wengine kupigwa risasi kama kina lissu.
Sasa hakuna namna nyingine ya kutoa mawazo au maoni zaidi ya kutumia mitandao ya kijamii ambayo inasomwa na watu karibu Dunia nzima. Pia kuwasiliana na wahisani mbali mbali kuwaeleza yanayo jiri huku nchini.
 
Uzuri Dr slaa anayo majibu kuwa wengi wa upinzani tatizo ni upeo.sina uhakika mnaona waafrika wanavyouliwa marekani na.haki haitendeki.kwa darasa la bure nazo hizo ni haki za binadamu zinatakiwa zichukuliwe sawa na zinavyivunjwa huku kwetu kwa homework yako nenda kagoogle kama kifurushi hakijakata jinsi ukaya inavyoratibu issue ya wahamiaji ambao ndo wanachama wa EU zote ziko kwenye misingi ya haki za binadamu sawa sawa na ushoga ukiridhika njoo na essaey usijali format we jikunje ilimradi inasoneka.

Hayo majibu ya upinzani alianza kuyapata baada ya kukosa nafasi ya kugombea urais kupitia cdm na kisha kupata ubalozi kama asante toka kwa mwenyekiti wa ccm? Mbona alipokuwa yuko upinzani akiwapinga ccm bado maelezo ya ccm yalikuwa ni haya haya ambayo yeye sasa anatupa?
 
Ajadilane nini na viongozi wa upinzani walioatamia madaraka zaidi ya miaka 20 sasa?

Ulishajiuliza uchaguzi wa chadema mara ya mwisho kufanyika lini?
Bora ungejiita bwege. Uwezo wa kufiri mdogo sana.
 
Ametoa somo zuri lakini linamwelekeo wa mrengo mmoja uliompa kula.
Anapo sema mambo ya ndani ya nchi yazungumziwe nadani, hilo haliwezekani kwani ukijaribu kuangalia watu wote waliojitokeza na kuzungumza au kukosoa serikali walipatwa na mazito yakiwemo kutekwa na kupoteza, kutekwa na kuteswa, kutekwa na kuuwawa na wengine kupigwa risasi kama kina lissu.
Sasa hakuna namna nyingine ya kutoa mawazo au maoni zaidi ya kutumia mitandao ya kijamii ambayo inasomwa na watu karibu Dunia nzima. Pia kuwasiliana na wahisani mbali mbali kuwaeleza yanayo jiri huku nchini.

Huyo Slaa ni mnafiki mwenye umri mkubwa, akiwa upinzani kuna barua zake nyingi aliwaandikia wazungu kuhusu mwenendo wa demokrasia hapa nchini. Je wakati huo hakujua hao wazungu hawakuwa na ubaya ambao anauona sasa baada ya kujiunga kwenye kambi ya waovu?
 
Huyo Slaa ni mnafiki mwenye umri mkubwa, akiwa upinzani kuna barua zake nyingi aliwaandikia wazungu kuhusu mwenendo wa demokrasia hapa nchini. Je wakati huo hakujua hao wazungu hawakuwa na ubaya ambao anauona sasa baada ya kujiunga kwenye kambi ya waovu?

Anatetea mkate wake wa siku
 
Jana nimeona video za Dkt Slaa kwenye social media ambazo alihojiwa na wanahabari baada ya mkutano wa viongozi wa SADC uliofanyika jijini Dar es salaam Tanzania. Dkt Slaa kwenye video hizo amezungumza mambo mbalimbali hususani mambo ya kiuchumi na mambo ya kisiasa ambayo msingi wake mkubwa ni UZALENDO.

Sijajua wewe mwenzangu umejifunza nini juu ya maneno yale ya Balozi. Funzo kubwa ambalo mimi nimejifunza ni kuwa Watanzania wengi wanaamini Wazungu ni wazalendo kwetu kitu ambacho si sahihi. Ukisikiliza kwa umakini Dkt anasema yanayofanyika huku Afrika huko Ulaya yanafanyika mara dufu. Na amesisitiza pamoja na kwamba wao nchi zao zipo katika Dunia ya kwanza bado kuna takataka nyingi za uvunjifu wa haki za kibinadamu huku akitolea mfano Gwantanamo.


Dkt amejaribu kutoa elimu kuwa kunapokuwa na mambo ya ndani ya nchi basi yazungumzwe ndani ya nchi. Kama ni kuchapana fimbo tuchapane humu humu na kamwe tusitoe mambo yetu nje. Amesema kutoa mambo yenu nje ni kuruhusu mianya ya kuwapenyeza watu wanaozitamani rasilimali zetu kwa ajili ya nchi zao.

Kubwa kuliko yote pamoja na kuwa msingi wa Dkt Slaa alijikita kuwaambia Watanzania kuwa wawe wazalendo, lakini alikuwa anafikisha ujumbe kuwa vita ya uchumi kwa dunia ya leo ndiyo ngumu kuliko vita yoyote.

Tunatambua kuwa ili nchi zilizoendelea ziendelee kuwa na viwanda imara, masoko ya bidhaa zao, malighafi kwa ajili ya viwanda vyao na miundo mbinu bora katika nchi zao waitegemea zaidi afrika. Bidhaa nyingi tunazoenda kununua ulaya na kuziingiza kwenye masoko yetu ni wazi kuwa mali ghafi zimetoka huku huku afrika. Hivyo wanapojitokeza viongozi ambao wanataka malighafi hizi zichakatwe hapa hapa na kutolewa nje zikiwa zimeongezwa thamani basi ujue unajitengenezea maadui ambao walikuwa wakitegemea malighafi hizi.

Mh Rais tangu hotuba yake ya kufungua Bunge alishaonyesha dhamira yake ya dhati katika kulinda uchumi wa Tanzania na kufufua viwanda. Matokeo ya kukusanya mapato na kubana matumizi tunaona matokeo yake. Mambo makubwa yanafanyika hapa nchini katika kipindi chake na bado ameendelea kusisitiza kuwekeza kwenye viwanda na kulinda rasilimali zetu hasa madini, misitu, Wanyama n.k. Kufanya hivyo tayari amejitengenezea maadui wa ndani na nje waliokuwa wanatumia mianya hiyo kujinufaisha.
Pumbavu!
Vya kwetu ndio hivyo vya kuwaua akina Saanane na wengine na kumpiga binadamu mwenzako risasi Karibu 40?

Quantanamo ni ya Wamarekani lakini kule hakuna Mmarekani hata mmoja. Hata wenye hatia wamefuata katiba yao kuwahukumu. Nyie mnaua watu wenu mnataka msiambiwe?
 
Pumbavu!
Vya kwetu ndio hivyo vya kuwaua akina Saanane na wengine na kumpiga binadamu mwenzako risasi Karibu 40?
Quantanamo ni ya Wamarekani lakini kule hakuna Mmarekani hata mmoja. Hata wenye hatia wamefuata katiba yao kuwahukumu. Nyie mnaua watu wenu mnataka msiambiwe?

Umeenda kufanya utafiti ukakuta hakuna Wamarekani? Hata hivyo vipi hao wanaoteswa huko si binadamu wanaostahili haki za binadam?
 
Pumbavu!
Vya kwetu ndio hivyo vya kuwaua akina Saanane na wengine na kumpiga binadamu mwenzako risasi Karibu 40?
Quantanamo ni ya Wamarekani lakini kule hakuna Mmarekani hata mmoja. Hata wenye hatia wamefuata katiba yao kuwahukumu. Nyie mnaua watu wenu mnataka msiambiwe?

Umeenda kufanya utafiti ukakuta hakuna Wamarekani? Hata hivyo vipi hao wanaoteswa huko si binadamu wanaostahili haki za binadam?
 
Pumbavu!
Vya kwetu ndio hivyo vya kuwaua akina Saanane na wengine na kumpiga binadamu mwenzako risasi Karibu 40?
Quantanamo ni ya Wamarekani lakini kule hakuna Mmarekani hata mmoja. Hata wenye hatia wamefuata katiba yao kuwahukumu. Nyie mnaua watu wenu mnataka msiambiwe?

Umeenda kufanya utafiti ukakuta hakuna Wamarekani? Hata hivyo vipi hao wanaoteswa huko si binadamu wanaostahili haki za binadam?
 
Huyo Slaa ni mnafiki mwenye umri mkubwa, akiwa upinzani kuna barua zake nyingi aliwaandikia wazungu kuhusu mwenendo wa demokrasia hapa nchini. Je wakati huo hakujua hao wazungu hawakuwa na ubaya ambao anauona sasa baada ya kujiunga kwenye kambi ya waovu?

unaweza kui- attache hapa ili tujue kuwa sasa anafanya ni toba ya yale aliyoyaamini mwanzo? Bila ushahidi nawe utakuwa unataka kutudanganya.
 
eti tuchapane humu huu, toako kweli huyu babu aliyeasi upadri
Tumesema tunahitaji tume huru ya uchaguzi na katiba mpya. Huyo rais hajawahi kusikia madai haya? Je anataka mpaka tuchinjane ndio akubali matakwa ya umma? Huyo Slaa ambaye leo analia kivulini, anatoa somo gani ambalo wanaccm hawajawahi kutuambia ili waendelee kukaa madarakani?
baada ya kuzini na Diana, alipokuwa CHADEMA mbona alikuwa anashtakia kwa wazungu.
mwafrika bila kuongizwa haendi
 
unaweza kui- attache hapa ili tujue kuwa sasa anafanya ni toba ya yale aliyoyaamini mwanzo? Bila ushahidi nawe utakuwa unataka kutudanganya.

Hata yeye huu uzi anauona, atokee akanushe. Hizo barua ni za kiofisi sio za kuweka humu jukwaani. Kwakuwa ww ndio umeanzisha uzi wa kuwakilisha ushauri wake, mpigie simu umuulize haya ni ya kweli?
 
Jana nimeona video za Dkt Slaa kwenye social media ambazo alihojiwa na wanahabari baada ya mkutano wa viongozi wa SADC uliofanyika jijini Dar es salaam Tanzania. Dkt Slaa kwenye video hizo amezungumza mambo mbalimbali hususani mambo ya kiuchumi na mambo ya kisiasa ambayo msingi wake mkubwa ni UZALENDO.

Sijajua wewe mwenzangu umejifunza nini juu ya maneno yale ya Balozi. Funzo kubwa ambalo mimi nimejifunza ni kuwa Watanzania wengi wanaamini Wazungu ni wazalendo kwetu kitu ambacho si sahihi. Ukisikiliza kwa umakini Dkt anasema yanayofanyika huku Afrika huko Ulaya yanafanyika mara dufu. Na amesisitiza pamoja na kwamba wao nchi zao zipo katika Dunia ya kwanza bado kuna takataka nyingi za uvunjifu wa haki za kibinadamu huku akitolea mfano Gwantanamo.


Dkt amejaribu kutoa elimu kuwa kunapokuwa na mambo ya ndani ya nchi basi yazungumzwe ndani ya nchi. Kama ni kuchapana fimbo tuchapane humu humu na kamwe tusitoe mambo yetu nje. Amesema kutoa mambo yenu nje ni kuruhusu mianya ya kuwapenyeza watu wanaozitamani rasilimali zetu kwa ajili ya nchi zao.

Kubwa kuliko yote pamoja na kuwa msingi wa Dkt Slaa alijikita kuwaambia Watanzania kuwa wawe wazalendo, lakini alikuwa anafikisha ujumbe kuwa vita ya uchumi kwa dunia ya leo ndiyo ngumu kuliko vita yoyote.

Tunatambua kuwa ili nchi zilizoendelea ziendelee kuwa na viwanda imara, masoko ya bidhaa zao, malighafi kwa ajili ya viwanda vyao na miundo mbinu bora katika nchi zao waitegemea zaidi afrika. Bidhaa nyingi tunazoenda kununua ulaya na kuziingiza kwenye masoko yetu ni wazi kuwa mali ghafi zimetoka huku huku afrika. Hivyo wanapojitokeza viongozi ambao wanataka malighafi hizi zichakatwe hapa hapa na kutolewa nje zikiwa zimeongezwa thamani basi ujue unajitengenezea maadui ambao walikuwa wakitegemea malighafi hizi.

Mh Rais tangu hotuba yake ya kufungua Bunge alishaonyesha dhamira yake ya dhati katika kulinda uchumi wa Tanzania na kufufua viwanda. Matokeo ya kukusanya mapato na kubana matumizi tunaona matokeo yake. Mambo makubwa yanafanyika hapa nchini katika kipindi chake na bado ameendelea kusisitiza kuwekeza kwenye viwanda na kulinda rasilimali zetu hasa madini, misitu, Wanyama n.k. Kufanya hivyo tayari amejitengenezea maadui wa ndani na nje waliokuwa wanatumia mianya hiyo kujinufaisha.

Wanasiasa na wanaharakati wanaodhani wazazi wao ni wazungu, wanaodhani kunapotokea matatizo hapa nchini basi baba na mama zao ni wazungu wa kwenda kusemelea watambue kuwa wanawatengenezea maisha magumu watoto wao na wajukuu zao. Hawa wazungu ambao waligawana bara letu tangu 1884 baada ya mkutano wa Bern ndio waliotufikisha hapa. Hawana nia njema na sisi. Hawa ndio waliwaua ndugu zetu kwa kuwachinja, kuwachapa, kuwafunga minyororo, kuwatosa baharini na kuwafanyisha kazi ngumu(manamba). Ni matatizo ya akili kama tunaona watu waliotusababishia wimbi hili la umasikini kuwa leo wanaweza kutusaidia.

Wanachofanya kama ilivyokuwa zamani akikupa 2 ujue amechukua 100. Historia inatukumbusha kuwa walikuwa wanachukua madini yetu na kuwaletea babu zetu nguo, sigara, bangili au saa. Hivyo hata leo wanafanya hivyo ijapo si rahisi kwa kuwa ukoloni wa sasa umeboreshwa na Waafrika wenye akili nao wameungana nao kama ilivyokuwa kwa akina Karl Peters, Livingston na akina Henury Morton.

Mwandishi Okot P'Bitek kwenye kitabu cha Song of Lawino and Song of Ocol anaandika "Dont uproot pumpkins in the old homestead". Waafrika wengi tunadharau vya kwetu na kuamini vya Wazungu. JPM amekuja muda mwafaka, tumuunge mkono. Kama ni kumkosoa basi tutumie lugha zetu na utamaduni wetu wa ndani kukosoa kwani hata yeye si malaika. Ulaya hawatawasaidia zaidi mnawatafutia njia ya kutunyonya zaidi.

Mambo mengine ya Diplomasia ya kimataifa tuwaachie Ambassadors na Consular agent(Wanadiplomasia ya uchumi) waendelee nayo huko.
Hilo somo akampe mkewe ndio ataelewa au Lumumba buku saba.
 
Ajadilane nini na viongozi wa upinzani walioatamia madaraka zaidi ya miaka 20 sasa?

Ulishajiuliza uchaguzi wa chadema mara ya mwisho kufanyika lini?
umemjibu vizuri Sana huyo nyumbu. Sijaona kiongozi hata mmoja wa upinzani anaetekeleza demokrasia kwa vitendo zaidi wote ni madikteta nguli. Upinzani kumpoteza Dr Slaa lilikuwa Ni kosa la kiwango cha juu sanaa kuja kuliziba hili kosa itachukua muda mrefu Sana. Mbowe anastahili kupigwa mawe hadharani kwa upuuzi aliotufanyia km Taifa. Manyumbu bado wanamkenulia meno tu, inakera Sana!
 
Wanao mpinga Dr Slaa wanahoja zakiduwanzi Sana.
Watakwambia "aliacha upadre! Sasa kuwa Padre au kutokuwa Padre si nimaamuzi ya mtu mwenyewe? Mbona wao wapo walivyo kwaajili ya maamuzi yao?
Wengine "eti alizini! Unaweza kuzini na mke wako? Aliamua kuoa sababu alipenda kuoa. Mbona wakosoaji wengi wa Slaa ni wazinzi na tunaushahidi? Fly to KIA !hata ivo mbona Ni maisha binafsi?
Eti kisa kumkataa Lowasa kuwa mgombea wanasema "anapenda madaraka!. Kwani CHADEMA hawakutuambia miaka yote kuwa Lowasa ni fisadi? Sasa kuwa na msimamo wa ulichokiamini na kuaminisha watu nayo ni zambi ya usaliti? (Mwanaume kamili lazima uwe na msimamo) ukweli huwa unajitenga, Sasa ni wazi, pengo la Slaa lipo na halizibiki. Anaebisha amuulize Mashinji.
 
Back
Top Bottom