Balozi Ali Karume amkosoa vikali Humphrey Polepole
View: https://m.youtube.com/watch?v=sN6hZvI5faYMheshimiwa Polepole ni mwanasiasa shughuli ya ubalozi hakuwa anaufahamu kuielewa wala hakutaka kujifunza ndo maana tunaona haya yaliyotokea, balozi Karume anapigilia msumari harakati za Polepole
Ali Karume aliyewahi kutumikia wadhifa wa kidiplomasia kama balozi kwa miaka 27 amesema Humphrey Polepole mazungumzo yake amekiuka imani aliyopewa na mteuliwa wake balozi namba moja aliye rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Balozi Ali Karume anafafanua balozi kamili wa ukweli ni wale walioanza kazi katika wizara ya mambo ya nje na kufikia ngazi ya minister plenipotentiary grade one katika mafaili yao ya utumishi ndani ya wizara kabla ya kupewa ubalozi, tofauti na kina Polepole wanaopachikwa juu kwa juu kuwa mabalozi wasio na uzoefu wizarani
Balozi Ali Karume anaongeza kuwa tuchukulie mfaño mahusiano mema na ya aina ya kipekee katika ya Cuba na Tanzania, hivi kweli balozi wa Cuba nchini Tanzania angeweza kujiuzulu na kuanza kuishambulia nchi yake ya Cuba ?
Balozi Ali Karume amesema yu tayari kuanzisha mazungumzo na Humphrey Polepole katika jukwaa lolote liwe katika televisheni, ZOOM, YouTube ili kuongelea masuala mbalimbali wabadilishane mawazo
Balozi Ali Karume anasema hali hii ya Polepole kuanza mazungumzo yake ipo haya mamlaka za uteuzi za nani anakuwa balozi wetu nje kuwa na njia bora zaidi za kuchuja nani anafaa kuwa balozi ili taifa liepukane na aina ya mheshimiwa Humphrey Polepole kupenya na kuwa balozi isitokee.
View: https://m.youtube.com/watch?v=sN6hZvI5faYMheshimiwa Polepole ni mwanasiasa shughuli ya ubalozi hakuwa anaufahamu kuielewa wala hakutaka kujifunza ndo maana tunaona haya yaliyotokea, balozi Karume anapigilia msumari harakati za Polepole
Ali Karume aliyewahi kutumikia wadhifa wa kidiplomasia kama balozi kwa miaka 27 amesema Humphrey Polepole mazungumzo yake amekiuka imani aliyopewa na mteuliwa wake balozi namba moja aliye rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Balozi Ali Karume anafafanua balozi kamili wa ukweli ni wale walioanza kazi katika wizara ya mambo ya nje na kufikia ngazi ya minister plenipotentiary grade one katika mafaili yao ya utumishi ndani ya wizara kabla ya kupewa ubalozi, tofauti na kina Polepole wanaopachikwa juu kwa juu kuwa mabalozi wasio na uzoefu wizarani
Balozi Ali Karume anaongeza kuwa tuchukulie mfaño mahusiano mema na ya aina ya kipekee katika ya Cuba na Tanzania, hivi kweli balozi wa Cuba nchini Tanzania angeweza kujiuzulu na kuanza kuishambulia nchi yake ya Cuba ?
Balozi Ali Karume amesema yu tayari kuanzisha mazungumzo na Humphrey Polepole katika jukwaa lolote liwe katika televisheni, ZOOM, YouTube ili kuongelea masuala mbalimbali wabadilishane mawazo
Balozi Ali Karume anasema hali hii ya Polepole kuanza mazungumzo yake ipo haya mamlaka za uteuzi za nani anakuwa balozi wetu nje kuwa na njia bora zaidi za kuchuja nani anafaa kuwa balozi ili taifa liepukane na aina ya mheshimiwa Humphrey Polepole kupenya na kuwa balozi isitokee.