Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,499
- 10,540
Benzema simpendi japo kama akibeba ucl na laliga basi anaweza kuchukua.
DeBruyne yeye atabeba endapo man city itabeba ucl na epl.
Salah naye bado yumo na anaweza kuchukua epl na ucl.
Mane naye anaweza akaleta upinzani. Kabeba afcon na anaweza kubeba epl na ucl pia.
Wakikosa kabisa wamrudishie mmiliki wa hiyo tuzo, ndugu messi maana anaweza kubeba world cup na tayari anayo ligue 1.
DeBruyne yeye atabeba endapo man city itabeba ucl na epl.
Salah naye bado yumo na anaweza kuchukua epl na ucl.
Mane naye anaweza akaleta upinzani. Kabeba afcon na anaweza kubeba epl na ucl pia.
Wakikosa kabisa wamrudishie mmiliki wa hiyo tuzo, ndugu messi maana anaweza kubeba world cup na tayari anayo ligue 1.