Balile kwa hili umekurupuka

Balile kwa hili umekurupuka

kama hujui ki2 usiongee ki2 aliyekwambia 2napewa pesa kama hyo ni nani?1.chuoni ha2kai miez 12 kama hesabuzako zilivyo, it wrong calculation, Meal and accomadation,tsh 1836000/ kwa miezi 8, hapo kuna pango la nyumba, kumalizia ada coz magamba hawatoe 100%,2. Photocopy na kunua vitabu hapo hapo, 3.nauli wakati wa likizo hapo hapo so hakuna anaye fanya asana kwa sababu ya hyo pesa coz haitoshi! Kabisa pole

true joh msamehe ni uelewa mdogo na masuala ya chuo ni kukosa ustaarabu tu angeuliza kwanza na siyo kuongea uongo na sio kila kitu uchangie
 
Sasa tatizo ni nini hapo? si ni 230,000/= kwa mwezi?
Kwa mwaka mmoja unapata sh 2,760,000/=.
Hata ukipanga chumba cha sh 30,000 kwa mwezi utatumia sh 360,000 kwa mwaka.Ukitumia sh 60,000 kwa mwezi kwa chakula jumla ni sh 720,000/= na kuvaa,vitabu nk huwezi maliza 2,760,000 kama kweli uko makini.
Hii fedha wadongo zangu mtaijutia pindi mkiingia uraiani?
tatizo lenu wengi wenu mnajitumbukiza katika siasa na anasa huo ni ukweli sema si wote!
Kaka mwaka wa chuo sio miezi12, ni miezi8 tu! 230,000X8=1,840,000
Alivosema 1,800,000 hakukosea ila alichokosea ni kusema miezi3. Badala ya mwaka mzima(alimezeshwa vibaya) 60,000 kwa mwezi chakula cha aina gani? Kwa sababu hata usema unakula mkate na maji ya uhai kila siku hiyo 60,000 sidhan kama inatosha.
Ilo swala la ipad na tv amefanya generalization ambayo sio realistic!

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Akionge katika kipindi cha star tv cha Jicho letu ndani ya habari asubuhi ya leo,mhariri Balile ametoa taarifa ya uongo kuwa wanafunzi wa vyuo vya elimi ya juu wanalipwa sh1800,000 kwa miezi mitatu na ndio maana wanaendesha maisha ya anasa.

Pia ameongeza kuwa kutokana na hela nyingi wanazolipwa wakiwa chuoni husababisha wao kushindwa kuishi pale wanspoanza kazi kwa maana mishahara wanayolipwa inakuwa midogo kulingana na hela wanazolipwa wakiwa vyuoni.Balile ametoa mfano wa UD ambapo amesema ukienda bkock six utakuta wanafunzi wanaishi maisha ya anasa kwa kumiliki vitu kama TV na ipad ambazo amedai wanazitumia kuangalia picha za ngono badala ya kusoma.

Kwanza napenda kumwambia kama hana data bora akae kimya.Mwanafunzi analipwa sh 459,000 kama meals and accomodation allowance ikiwa na malipo kwa kipindi cha miezi miwili tu.Na ada inalipwa chuoni moja kwa moja.Sasa anapodai wanafunzi wanalipwa 1800,000 kwa miezi mitatu hizo taarifa kazitoa wapi?Cha kushangaza anadai eti hata ulaya hawatoi pesa kwa wanafunzi.Sasa hii kauli ina ukweli wowote ule?

Hivi kweli hawa ndio waandishi tunaoweza kuwategema kama taifa?Mwandishi gani mkongwe anakuwa na mawazo haya ya mwaka 47?!

Balile, kwa leo umechemka na umetia aibu waandishi wenzako!

Si ndo huyu mmoja wa wahariri wa Jamhuri? Hawa jamaa wakiambiwa ni makanjanja wanakasirika na kuchukia baadhi ya watu,huwezi jua labda anawaonea wivu wanaolipiwa na bodi yeye pengine hata Bachelor degree haijui Jamaa yake Manyerere aje atuambie hapa huyu jamaa kama sio Kanjanja!
 
Amesoma sekondari ya Kishoju kule kwao Kagera na baada ya shule alikuwa akifundisha shule ya sekondari Mugeza kuke Kagera. baadae alikwenda kusoma Saut Mwanza tena kwa kulipiwa na kanisa katoliki, baada ya hapo aliajiliwa mwananchi kama mwandishi kabla hajaokotwa na Mbowe na kumtumia kama mhariri kuanzisha Tanzania daima, baada ya hapo alipata scholaship ya hao wanaotumia watanzania (kama walimtumia na yeye may be) kwenda kusoma postgraduate kwao huko, aliporudi akakuta Kibanda kachukua nafasi yake hivyo kaenda kwa fisadi wa mafisadi Habari corporation akiandikia mtanzania. Kwa sasa alijinyofoa huko na kuanzisha jarida linaitwa gazeti la Jamhuri.

Aaah!ndo maana kama nilivyosema huyu hata bodi ya mikopo haijui, muda wote amekuwa akifadhiliwa mara na kanisa mara scholarship Ulaya,ndo tatizo aulize watu tulivyotaabika, watu wengine huwa wanatia hasira sana basi tu!
 
Akionge katika kipindi cha star tv cha Jicho letu ndani ya habari asubuhi ya leo,mhariri Balile ametoa taarifa ya uongo kuwa wanafunzi wa vyuo vya elimi ya juu wanalipwa sh1800,000 kwa miezi mitatu na ndio maana wanaendesha maisha ya anasa.

Pia ameongeza kuwa kutokana na hela nyingi wanazolipwa wakiwa chuoni husababisha wao kushindwa kuishi pale wanspoanza kazi kwa maana mishahara wanayolipwa inakuwa midogo kulingana na hela wanazolipwa wakiwa vyuoni.Balile ametoa mfano wa UD ambapo amesema ukienda bkock six utakuta wanafunzi wanaishi maisha ya anasa kwa kumiliki vitu kama TV na ipad ambazo amedai wanazitumia kuangalia picha za ngono badala ya kusoma.

Kwanza napenda kumwambia kama hana data bora akae kimya.Mwanafunzi analipwa sh 459,000 kama meals and accomodation allowance ikiwa na malipo kwa kipindi cha miezi miwili tu.Na ada inalipwa chuoni moja kwa moja.Sasa anapodai wanafunzi wanalipwa 1800,000 kwa miezi mitatu hizo taarifa kazitoa wapi?Cha kushangaza anadai eti hata ulaya hawatoi pesa kwa wanafunzi.Sasa hii kauli ina ukweli wowote ule?

Hivi kweli hawa ndio waandishi tunaoweza kuwategema kama taifa?Mwandishi gani mkongwe anakuwa na mawazo haya ya mwaka 47?!

Balile, kwa leo umechemka na umetia aibu waandishi wenzako!

Nafikiri umeangalia upande mmoja wa shilingi, nilimsikia Balile zaidi alitumia lugha ya picha ambayo kwako imekuwa ngumu kuielewa! Upande wa pili aw shilingi, Balile alisema enzi zao hawakuwa wakishika hela jambo ambalo ni la kweli; walisafiri kwa warrant na kula walikula cafeteria. Kizazi cha leo, kinapewa hela hela ambayo ni kweli kuwa imechangia kwa kiasi kikubwa wanafunzi kufeli. Niko kwenye taasisi ya elimu, kweli sasa hivi wanafunzi wengi mburula. Usibishe Ndg yangu.
 
Sasa tatizo ni nini hapo? si ni 230,000/= kwa mwezi?
Kwa mwaka mmoja unapata sh 2,760,000/=.
Hata ukipanga chumba cha sh 30,000 kwa mwezi utatumia sh 360,000 kwa mwaka.Ukitumia sh 60,000 kwa mwezi kwa chakula jumla ni sh 720,000/= na kuvaa,vitabu nk huwezi maliza 2,760,000 kama kweli uko makini.
Hii fedha wadongo zangu mtaijutia pindi mkiingia uraiani?
tatizo lenu wengi wenu mnajitumbukiza katika siasa na anasa huo ni ukweli sema si wote!

Ndo walewale kina Balile! Ni Tsh 7500 kwa siku piga kwa miezi mitatu,na wengine hiyohiyo ndo akate alipe ada na hiyo ada inategemea na asilimia yako sasa kama % yako ni ndogo hapo ndo utakapojuta na hasa kama wazazi ndo hivy o ungaunga mwana ni kazi. Nashurukur bwana mdogo anamaliza mwez ujao japo nipumzike kidogo. Waulize vijana upate data za kutosha huko vyuon. Wanaofanya Luxury kwa kias kikubwa ni michango toka kwa wazaz/walezi.
 
Si ndo huyu mmoja wa wahariri wa Jamhuri? Hawa jamaa wakiambiwa ni makanjanja wanakasirika na kuchukia baadhi ya watu,huwezi jua labda anawaonea wivu wanaolipiwa na bodi yeye pengine hata Bachelor degree haijui Jamaa yake Manyerere aje atuambie hapa huyu jamaa kama sio Kanjanja!

Ukimwita Balile kanjanja, utakuwa si tu humtendei haki Bali pia utakuwa humpendi tu kwa kusikia watu wengine wakimsema na humfamu. Tusikurupuke kuwasema watu tusiowafahamu!
 
Ukimwita Balile kanjanja, utakuwa si tu humtendei haki Bali pia utakuwa humpendi tu kwa kusikia watu wengine wakimsema na humfamu. Tusikurupuke kuwasema watu tusiowafahamu!

Tueleweshane basi ukweli ni upi,maanake yeye alitakiwa na ushahid wa kutosha kwa kila anachokisema kuliko kupotosha! Mtu akimwambia anatumika au ni Kanjanja atakosea?
 
Sasa tatizo ni nini hapo? si ni 230,000/= kwa mwezi?
Kwa mwaka mmoja unapata sh 2,760,000/=.
Hata ukipanga chumba cha sh 30,000 kwa mwezi utatumia sh 360,000 kwa mwaka.Ukitumia sh 60,000 kwa mwezi kwa chakula jumla ni sh 720,000/= na kuvaa,vitabu nk huwezi maliza 2,760,000 kama kweli uko makini.
Hii fedha wadongo zangu mtaijutia pindi mkiingia uraiani?
tatizo lenu wengi wenu mnajitumbukiza katika siasa na anasa huo ni ukweli sema si wote!

Unakula chakula gani hicho ambacho unatumia 60, 000TSH kwa mwezi?
 
Sasa tatizo ni nini hapo? si ni 230,000/= kwa mwezi?
Kwa mwaka mmoja unapata sh 2,760,000/=.
Hata ukipanga chumba cha sh 30,000 kwa mwezi utatumia sh 360,000 kwa mwaka.Ukitumia sh 60,000 kwa mwezi kwa chakula jumla ni sh 720,000/= na kuvaa,vitabu nk huwezi maliza 2,760,000 kama kweli uko makini.
Hii fedha wadongo zangu mtaijutia pindi mkiingia uraiani?
tatizo lenu wengi wenu mnajitumbukiza katika siasa na anasa huo ni ukweli sema si wote!
Kifikra na kiuhalisia Ndugu Byabato unamuunga mkono mtoa hoja kuwa alichokisema Balile (Mwandishi mwenzio) ni UONGO wa mchana kweupe. Waandishi wa namna hii ndiyo wanaoaminisha wananchi na ndugu zetu huko uraiani kuwa tunaishi maisha ya anasa vyuoni alhali mkumbuke vyuoni wanakuja watu wa familia tofauti na wote tunapata MKOPO ila wengine wazazi wao wankipato na kwao vitu kama I-Pad, I-phones, LCD etc kuwa navyo ni jambo la kawaida. Kwa taarifa yako na hyake kuna wazazi wanawalipa watoto wao mishahara wakiwa vyuoni alimradi tu mwanae asome kama motisha maana wengine huwa hawana nia na shule. Sasa ukimkuta huyu anaspendi kwa anasa utasema wote ni watu wa anasa. Hii ni FALLACY. Hii ndiyo inasababisha tukirudi vijijini tuambiwe WANACHUO HATUJENGI KWETU wakati tunalipwa!!! Waandishi kama hawa ni hatari badala ya kueleza UMMA uhalisia wa mambo wanachochea uhasama na chuki kati ya wanavyuo na wananchi wengine.
Kwa taarifa yake huyo Ndg. Balile hapo Hall 6 watu wanalala watatu kwenye kitanda kimoja...akaandike hili ili Mukandara azingatie umuhimu wa makazi kwa WANACHUO...
 
ama kweli "no research no right to talk",hv wanajua kua mahesabu yapigwayo ya kulipia rumu kwa semister na kwa chuo cha udsm ni tofauti na vyou vinginevyo vya mikoani?bei ya chumba ni sh 78,000/= na laki unusu kwa semister na kwa vyuo vya ndani ya chuo na nnje ya chuo. je wanaosoma Iringa, mbeya Arusha n.k nako wanapata yumba kwa bei hiyo? tusipende kufanya jambo pasipo kufanyia utafiti. na usidhani kila mwanachuo ana akili mbovu na isiyo na uvumilivu na busara kama yake.
 
Nafikiri umeangalia upande mmoja wa shilingi, nilimsikia Balile zaidi alitumia lugha ya picha ambayo kwako imekuwa ngumu kuielewa! Upande wa pili aw shilingi, Balile alisema enzi zao hawakuwa wakishika hela jambo ambalo ni la kweli; walisafiri kwa warrant na kula walikula cafeteria. Kizazi cha leo, kinapewa hela hela ambayo ni kweli kuwa imechangia kwa kiasi kikubwa wanafunzi kufeli. Niko kwenye taasisi ya elimu, kweli sasa hivi wanafunzi wengi mburula. Usibishe Ndg yangu.

Majibu mepesi kwa maswali magumu!
 
Back
Top Bottom