BAKWATA wamkemea Makonda

Lowassa atupe turufu kwa kuunga mkono mahakama ya kadhi kuwemo kwenye katiba atakuwa amefunga kazi.
 

wewe mbumbumbu mzungu wa reli hujui kitu juu ya uislam usifananishe uislm na ukatonta.KIONGOZI KTK UISLAM NI QUR'AN NA SUNNA (mafundisho ya Mtume) hakuna zaidi na anaechaguliwa huwa ni mchungaji wa utekelezaji wa Qur'an na sunna na waislam wote nilazima tena wajibu khasa kuelewa Quran na sunna ili huyu mchungaji akienda upogo achapwe bakora.yaani afukuzwe hafai,naye ktk uchungajiwake hana lake lolote atakalo ongeza au kupunguza au kurekebisha ktk maelekezo ya quran na sunna.NO Amendment in islamic faith. Na Mtume (saw) ametukemea na kutukataza "KUMTII BINAADAM YEYOTE KTK KUMUASI ALLAH.we mbumbubu niafadhali ungekaakimya tu kuliko kudhihirisha umbumbubu wako hadharani tamu ya maneno ni kuongea kwa quatation za maandiko.sio kuniletea kwaya za vinanda
 

Astakafulilahi
 
Lowasa anahaha anajua chadema ikichukuwa nchi atafilisiwa tu. Kwa hiyo anata aingie yeye au aweke mtu wake kama kawaida. Lakin kwa sasa hali ngumu sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…