crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,322
- 2,203
Bakwata Taasisi kuu ya kufisidi mali na maendeleo ya waislam imefanya ufisadi mwengine mkubwa kwa kuuza kwa ufisadi kiwanja kilichopo kona ya Bibi Titi na Morogoro.
Kiwanja hicho ameuziwa mgeni msomali wa Ramada kujenga Mall bila ya fedha hizo kuwanufaisha waislam na taasisi zao. Wizi huu wa mali za waislam unafanywa huku serikali ikizuia muislam yoyote kuihoji taasisi hii juu ya ubadhirifu.
Itakumbukwa Sheikh Ponda yupo ndani chanzo kikiwa kujaribu kuzuia wezi hawa wa BAKWATA kupora na kuuza viwanja vya waislam Temeke. Mpaka leo yupo ndani hii ikimaanisha serikali ina mkono wake kuona taasisi hii inakuwa na watu wasio kuwa waadilifu.
Kulikuwa na kamati iliyojiita ya kutetea mali za waislam iliokuwa ikio ngizwa na Mattaka mara hii hawakupiga kelele kwani nao wamewekwa sawa na mgao.
Sasa hivi BAKWATA wameuza mali zote karibu walizo rithi kutoka EAMWS kwa kupewa ili wazitumie kwa ajili ya umma wa kiislam lakini wameuza zote na kutumia fedha hizo wao wenyewe.
Kuna majumba maeneo yote ya jiji yalio tolewa na waislam na yote wameuza. Taasisi hii ina watu wa ajabu kabisa wengi hawana hata elimu ya kiislam wala desturi na hulka za kiislam.
Kiwanja hichi wameuza kwa Msomali huyo ambaye anajenga Mall na ameanza kuuza maduka yaliomo humo kwa faida yake.
Hili dubwana BAKWATA ni tatizo kubwa juu ya mali zite hizi shule zao zipo taabani ki elimu na zinazidi kuporomoka na Shehe Simba apiga pilau wala habari hiyo haimkeri, inamhusu nini? Kuna fans wa BAKWATA kina Abou Iddi nao kimyaa ukiwauliza wanakukejeli.
Waislam kuna haja kubwa ya kulikamata BAKWATA na kuweka watu waadilifu watakaoleta maendeleo kwa waislam japo tumechelewa kwani hawa jamaa wameuza kila kitu.
Kiwanja hicho ameuziwa mgeni msomali wa Ramada kujenga Mall bila ya fedha hizo kuwanufaisha waislam na taasisi zao. Wizi huu wa mali za waislam unafanywa huku serikali ikizuia muislam yoyote kuihoji taasisi hii juu ya ubadhirifu.
Itakumbukwa Sheikh Ponda yupo ndani chanzo kikiwa kujaribu kuzuia wezi hawa wa BAKWATA kupora na kuuza viwanja vya waislam Temeke. Mpaka leo yupo ndani hii ikimaanisha serikali ina mkono wake kuona taasisi hii inakuwa na watu wasio kuwa waadilifu.
Kulikuwa na kamati iliyojiita ya kutetea mali za waislam iliokuwa ikio ngizwa na Mattaka mara hii hawakupiga kelele kwani nao wamewekwa sawa na mgao.
Sasa hivi BAKWATA wameuza mali zote karibu walizo rithi kutoka EAMWS kwa kupewa ili wazitumie kwa ajili ya umma wa kiislam lakini wameuza zote na kutumia fedha hizo wao wenyewe.
Kuna majumba maeneo yote ya jiji yalio tolewa na waislam na yote wameuza. Taasisi hii ina watu wa ajabu kabisa wengi hawana hata elimu ya kiislam wala desturi na hulka za kiislam.
Kiwanja hichi wameuza kwa Msomali huyo ambaye anajenga Mall na ameanza kuuza maduka yaliomo humo kwa faida yake.
Hili dubwana BAKWATA ni tatizo kubwa juu ya mali zite hizi shule zao zipo taabani ki elimu na zinazidi kuporomoka na Shehe Simba apiga pilau wala habari hiyo haimkeri, inamhusu nini? Kuna fans wa BAKWATA kina Abou Iddi nao kimyaa ukiwauliza wanakukejeli.
Waislam kuna haja kubwa ya kulikamata BAKWATA na kuweka watu waadilifu watakaoleta maendeleo kwa waislam japo tumechelewa kwani hawa jamaa wameuza kila kitu.