Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,898
- 1,051
mbavu zangu!!! sasa huyo ni allah au mwanadamu
mkuu mimi namsikia tu ila simjui ila wanaomjua wanadai yeye anajua kiarabu tu.kiingereza hajui labda kaanza kusoma tuition ya umombo mimi sijui
mbavu zangu!!! sasa huyo ni allah au mwanadamu
Ni bora ya Bakwata ya Islamic Foundation unayajua? muulize FaizaFoxy atakueleza,mpaka unga unauzwa masjid, Darlur alqam Muslim University Radio Imaan bado kuzikwa tu. Ufisadi unafunikwa na baragashia na busati.
Sio vyema kutangaza udhaifu wako hadhari kwan utadharaulika! Tumia busara ya kushauri ukiwa ndan sio kulalamika na kutangaza madhaifu yenu kwani hakuna aliyemkamilifu dunian hata wew ungekabidhiwa amana za waislamu ungeiba tu! Cha msingi muombe allah awape fikra nzuri za kuendeleza iman yao kuliko wafanyavyo sasa maana wanafanya mazuri ila wew huyaoni bali unaona mabaya tu! Tafuta mazuri yao utaacha kuhuzunika bali utakuwa na furaha na aman!
Ni bora ya Bakwata ya Islamic Foundation unayajua? muulize FaizaFoxy atakueleza,mpaka unga unauzwa masjid, Darlur alqam Muslim University Radio Imaan bado kuzikwa tu. Ufisadi unafunikwa na baragashia na busati.
mbavu zangu!!! sasa huyo ni allah au mwanadamu
Ww umemuhuku kabisa crabat kumwambia angeiba kama angekuwa ktk madaraka unataka kuniambia kila mwenye madaraka ni mwizi hakuna wasafi? Ww ndio umefanya vibaya zaidi kuliko huyo anaefichua ufisadi..maana ww umehukumu kabisa..ni bora ungeainisha hayo mazuri ya Bakwata tukachanganua mazuri yako na mabaya ya alio leta crabat..lakini ujue waislam walio wengi wanaiyangali bakwata kwa ubaya sio kwa uzuri..na wanaiyangalia kwa ubaya kwa kuwa wanafanya mabaya kuliko matarijio ya mazuri.. na ujue hii taasisi kubwa watu walitegemea mazuri zaidi kuliko mabaya..ndio maana waislam wengi inatuuma kuuona bakwata hawafanyi mazuri ktk maendeleo ya waislam.sisi tulitegemea kuona mashule mahospitali mavyuo nk kutoka kwa uwanzilishi wa bakwata lakini wp tunaona kinyume chake uzwaji wa rasilimali na uchakavu wa vishule vuwili vitatu.lakini kama ww unayo unayoyajua mazuri ya bakwata tuandikie tuyajue tusio jua..
Ungepinga na pesa mamilion ya shilingi yanayotoka hazina kwenda ktk taasisi za kikiristo ningekuona wa maana sana..
Hata wewe ni agent wa devil kwanini uandike kiingereza wakati Allah anajua kiarabu TU.
Sio vyema kutangaza udhaifu wako hadhari kwan utadharaulika! Tumia busara ya kushauri ukiwa ndan sio kulalamika na kutangaza madhaifu yenu kwani hakuna aliyemkamilifu dunian hata wew ungekabidhiwa amana za waislamu ungeiba tu! Cha msingi muombe allah awape fikra nzuri za kuendeleza iman yao kuliko wafanyavyo sasa maana wanafanya mazuri ila wew huyaoni bali unaona mabaya tu! Tafuta mazuri yao utaacha kuhuzunika bali utakuwa na furaha na aman!
crabat kuna mambo mengi sana huyajui kuhusu uislam wa tanzania na mali zake,usiwe shabiki wa ki siasa tu na kukandamiza,Bakwata ndio wana mapungufu lakini unajua historia ya hayo maeneo? au wewe unaongea tu kishabiki udhuria vikao na makongamano ya busara ya waislam ndio utajua historia ya kweli na sio hizo siasa,
NA PIA NAKUONEA HURUMA KWA KUJIVUA NGUO HADHARANI,NA KUONGEA KITU AMBACHO HUKIJUI BALI USHABIKI TU,NA MBAYA ZAIDI MTU ASIYE MUISLAM ANAKUFUNDISHA HEKIMA NA USTAARABU,INSHAALLAH NAKUOMBA HUDHURIA MADARASA YA KIISLAM KATIKA MISIKITI ILIYO KARIBU NA WEWE THEN UTAELEWA NA SI KAMA AMBAVYO UMEFANYA,
USHASIKIA WAKRISTO WANAKUJA KUANIKA MAMBO YAO HAPA ???????