Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,810
- 831,020
Tofauti na TEC na CCT ambao wote kwa nyakati zote wanapokuwa na jambo la jumuiya huzungumzia 'WANANCHI' Tafsiri ya watu wote
Wa imani zote
Wa Kaliba zote
Wa mutazamo yote
Wa jinsia zote nk
Kwa upande wa BAKWATA hali ni tofauti kabisa! Mara nyingi kama sio zote hupenda sana kufanya mgawanyo hasa wa kiimani.. Wakipendelea zaidi kuitaja imani yao
Kwa hali hii watawala wamegundua ufahamu wa hii taasisi na udhaifu wake kwenye uelewa wa mambo mengi hivyo kuitumia watakavyo kwa manufaa binafsi
Maaskofu wametoa msimamo wao juu ya Serikali. Serikali imekaa kimya, lakini BAKWATA na masheikh wengine ndio wanaojibu mapigo!
Hawa ndio BAKWATA kwa jicho la wazi
Wa imani zote
Wa Kaliba zote
Wa mutazamo yote
Wa jinsia zote nk
Kwa upande wa BAKWATA hali ni tofauti kabisa! Mara nyingi kama sio zote hupenda sana kufanya mgawanyo hasa wa kiimani.. Wakipendelea zaidi kuitaja imani yao
Kwa hali hii watawala wamegundua ufahamu wa hii taasisi na udhaifu wake kwenye uelewa wa mambo mengi hivyo kuitumia watakavyo kwa manufaa binafsi
Maaskofu wametoa msimamo wao juu ya Serikali. Serikali imekaa kimya, lakini BAKWATA na masheikh wengine ndio wanaojibu mapigo!
Hawa ndio BAKWATA kwa jicho la wazi