MOU bado upo mkuu.Na kwasasa wa2 wamesahau2.Je,wajua yaliyomo ndani ya MOU?
kuna vitu vinaitwa MALENGO na MKAKATI_lengo la wanaharakati wote kwasasa nikuona kunakuwa na Mabadiliko ya Kiutawala_mambo mengine yote ni Mikakati_hali kadhalika tuandikapo Posts huwa ni Mikakati kwa ajili ya mambo fulan tunayoyalenga_ni vema kufikiri sana kabla hujafanya jambo_kwa post hii nadhan umetuma wakati ukijisaidia choon_haimsaidii yeyote hata familia yako hainufaiki kwa post hii_otherwise mnatukatisha tamaa waislam tuliomo chadema kwamba inawezekana chadema ni ukiristo na sisi tunawasindikiza kwenye move zenu_kwann harakat za kisiasa zizungumzie iman wakat wanaharakat ni wenye iman tofaut na tunaunganishwa na MALENGO? Hii inanitia shaka na kunifanya niamin kuwa inawezekana mh. Zitto yupo sahih kuwa kuna udin ndan ya cdm_nimekuwa kwa muda mrefu nikikemea mambo haya na kuwaomba mods kupinga vitu_lakin posts zinazofutwa ni zile zinazokemea mambo haya ndizo hufutwa
Sijasema mauaji ya Mwembechai yalikuwa halali. Nilikuwa namjibu mchangiaje anayeshangaa kwa nini maaskofu hawakulaani mauaji yale. Ndio maana nikasema, yale ya Mwembe yalihusu kundi moja ambalo linakinzana na maaskofu sasa wasingeweza kulitolea tamko. Kwanza waislamu walianza kuwakashifu hao maaskofu hivyo kuondoa uwezekano wa maaskofu 'ku-sympathise' nao. Hili la Arusha halina msingi wa dini yoyote na hivyo maaskofu ktk neutrality yao wametoa tamko kulaani, na hata Bakwata naamini wako njiani kutoa tamko kwa sababu kipenzi chao (Lipumba) ameshafanya hivyo.
Kama chadema hawatowaangalia watu wa namna hii na kuwa rub-out uanachama, changes haitatokea na kama itatokea haitadumu. Kwa ufupi mnawakatisha tamaa jamii ya waislam! Mwishowe kila muislam itabidi awe kama Malaria sugu,Dar es salaam, topical etc. Rethinking the changes we desire bro!
kuna vitu vinaitwa MALENGO na MKAKATI_lengo la wanaharakati wote kwasasa nikuona kunakuwa na Mabadiliko ya Kiutawala_mambo mengine yote ni Mikakati_hali kadhalika tuandikapo Posts huwa ni Mikakati kwa ajili ya mambo fulan tunayoyalenga_ni vema kufikiri sana kabla hujafanya jambo_kwa post hii nadhan umetuma wakati ukijisaidia choon_haimsaidii yeyote hata familia yako hainufaiki kwa post hii_otherwise mnatukatisha tamaa waislam tuliomo chadema kwamba inawezekana chadema ni ukiristo na sisi tunawasindikiza kwenye move zenu_kwann harakat za kisiasa zizungumzie iman wakat wanaharakat ni wenye iman tofaut na tunaunganishwa na MALENGO? Hii inanitia shaka na kunifanya niamin kuwa inawezekana mh. Zitto yupo sahih kuwa kuna udin ndan ya cdm_nimekuwa kwa muda mrefu nikikemea mambo haya na kuwaomba mods kupinga vitu_lakin posts zinazofutwa ni zile zinazokemea mambo haya ndizo hufutwa
u are right 100%. Udini unaoonyeshwa humu na wanachadema unatishia mustakabali wa nchi hii. Yaan ukiwa humu, kama wewe ni Muslim, utajikuta tu unaona bora CCM. Mkuu watu wa humu hawawez kuacha, kwan ni watu wazima+elimu, sio watoto hivyo huwez kuwabadilisha mtazamo, labda kama wataamua kuact.
Mimi sikuwahi kuwa mdini, ila humu kumenipa hasira sana... I will never choose Chadema.
Utawaona hapa watavyonishambulia.
u are right 100%. Udini unaoonyeshwa humu na wanachadema unatishia mustakabali wa nchi hii. Yaan ukiwa humu, kama wewe ni Muslim, utajikuta tu unaona bora CCM. Mkuu watu wa humu hawawez kuacha, kwan ni watu wazima+elimu, sio watoto hivyo huwez kuwabadilisha mtazamo, labda kama wataamua kuact.
Mimi sikuwahi kuwa mdini, ila humu kumenipa hasira sana... I will never choose Chadema.
Utawaona hapa watavyonishambulia.
Mwehu kilakitu huzungumza na hawezi kukaa kimya.Maaskofu si wanaubia na cdm ndo maana hawishi maneno.Wakati huohuo mnasisitiza tusichanganye dini na siasa.Hapa mtoa hoja hana jipya zaidi ya kuleta mpasuko wa kidini.SHAME ON YOU.
u are right 100%. Udini unaoonyeshwa humu na wanachadema unatishia mustakabali wa nchi hii. Yaan ukiwa humu, kama wewe ni Muslim, utajikuta tu unaona bora CCM. Mkuu watu wa humu hawawez kuacha, kwan ni watu wazima+elimu, sio watoto hivyo huwez kuwabadilisha mtazamo, labda kama wataamua kuact.
Mimi sikuwahi kuwa mdini, ila humu kumenipa hasira sana... I will never choose Chadema.
Utawaona hapa watavyonishambulia.
Ndio serikali ina MOU na kanisa.MOU uliingiwa wakati wa mkapa na kanisa lilikua na sauti kuu juu ya serikali.Soma fact za Kadogoo hapo juu.Wakati huu wakristo na matamko ya kilaleo ili tu nafasi irudi huku wakitafuta mbadala ambao ni kupitia cdm.Tazama humo cdm kulivyo na udini,tena ukatoliki ukiwa zaidi ya waunga mkono wengine.Kanisa lina hangaikia nguvu za kuuangamiza uislam na JK amewasoma ndo maana mwaka2010 hakua chaguo la Mungu tena kwani mlivyoni ni wa kuburuza tu sivyo!Kampeni zenu tunazijua A to Z upo hapo?
Kweli unyonge wa fikra ni tatizo kubwa sana! Yaani kuna watu bado mnaogopa kuumeza ukweli kisa umetokea upande wa dini fulani??? Mbona kuna viongozi wakubwa wa waislam, MZEE RUKSA akiwa mojawapo, wamewahi kutamka hadharani kwamba waislam tujikomboe ktk elimu na akasema wakristo wamewekeza huko, kuna aliyenyanyuka hapa kupinga au kukosoa?? Tuache unyonge na ubutu wa fikra...
Hivi vi boy boy viko vingi humu .. Someting like charityboy.. cityboy.. Why insisting that you are a boy?
Mdau sio unyonge wa kifikra ila tu waislamu wa sasa sio wajinga kama wale wazamani hatufuati mkumbo kama walivyokuwa wazee wetu sasa hivi tunataka umakini wa jambo. Kama kanisa katoliki lilitaka ushirikiano kutoka kwa waislamu lingelianza kwanza kwa kuwaomba waislamu radhi kwa kutokemea mauaji ya mwembechai ndipo likalaani hayo ya arusha. But venginevyo ni UNAFIKI TU HUO NA HAKUNA MTU ATAKUUNGENI MKONO!!!!!
Mdau sio unyonge wa kifikra ila tu waislamu wa sasa sio wajinga kama wale wazamani hatufuati mkumbo kama walivyokuwa wazee wetu sasa hivi tunataka umakini wa jambo. Kama kanisa katoliki lilitaka ushirikiano kutoka kwa waislamu lingelianza kwanza kwa kuwaomba waislamu radhi kwa kutokemea mauaji ya mwembechai ndipo likalaani hayo ya arusha. But venginevyo ni UNAFIKI TU HUO NA HAKUNA MTU ATAKUUNGENI MKONO!!!!!
Mdau sio unyonge wa kifikra ila tu waislamu wa sasa sio wajinga kama wale wazamani hatufuati mkumbo kama walivyokuwa wazee wetu sasa hivi tunataka umakini wa jambo. Kama kanisa katoliki lilitaka ushirikiano kutoka kwa waislamu lingelianza kwanza kwa kuwaomba waislamu radhi kwa kutokemea mauaji ya mwembechai ndipo likalaani hayo ya arusha. But venginevyo ni UNAFIKI TU HUO NA HAKUNA MTU ATAKUUNGENI MKONO!!!!!
...kama nakuelewa vile?? You never know hawa city,charity,etc ni kina nani, wengine ni high placed individuals*...it is important to remember that there are certain unnatural homohabilis activities which render a male human being incompetent to act under self-control due to enforced back-influence of another male being....(intentional grammar/syntaxical disarrangement??? never mind...)