GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
- Thread starter
- #21
Watanzania wenzangu ninaomba sana tena sana msipende kuandika au kushabikia mambo dini humu ndani kwani madhala yake ni makubwa sana.
Hii thread aliyoandika huyu mtu inaonyesha ni ya kuchochea vurugu ambazo hautaweza kuzimwa kwa gharama yoyote
Kuweni makini na kila uandikacho na msifikirie kwa kutumia masabuli yenu.
Mimi ni mkristo lakini nasikitishwa sana na upuuzi huu
Mwenye masikio na anisikie
Nawasilisha
We umeona huu uchonganishi au uchochezi. Poor thinking level