Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
clouds fm radio ya??????? malizia mwenyewe hivo sioni haja ya kuilamu kwani taaluma za watangazaji wake ni vilaza,tasnia ya uandishi wa habari inavamiwa na wanaofeli form 4 na form 6 wanaingia vyuo utitiri vya uandishi wa habari mnategemea nini? kama amefeli somo la uraia,kiswahili,historia,kiingereza masomo haya ndio yanapandisha credit za watu wengi wasiojua hesabu mitihani ya form 4 sasa na hayo kafeli atakuwa na upeo gani? bora msikize radio zingine sio clouds,