Acha kusevu majina ya mahawaraka kama mafundi ndani ya simu yako!!! Ninafurahi pia kuwa Kibonde ametumika katika tangazo hili!!!! Anasisitiza usichepuke, baki njia kuu!!! Hujafa hujaumbiko, Majuto ni mjukuu, bora ukubali yaishe!!! Kukubali hali na kujikubali, utaishi kwa afya njema hata kama nywele zitakuwa zimeshaanza kupukutika na tukaokolewa na madaktari wale kwa kutumia fursa za kazi zetu uliwananga wakati wa mgomo!!! Omba msamaha live.