sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,527
- 865
Baada zoezi la kupunguza wafanyakani takribani 150. miezi miwili iliyopita ili kuendana na gharama za uendeshaji wa kiwanda cha maji ya matunda.
Kuna fununu ya kuwa mpango mzima uliokuwepo kwa sasa ni kuhamisha kiwanda hicho na kukipeleka Nchini Rwanda,ambako kuna unafuu wa kodi ,hii hasa inatokana na kuelemewa na utitiri wa kodi ulioko nchini kwani kwa sasa hakuna ukwepaji wa kodi hivyo faida imepungua tofauti na huko nyuma kabla ya uchaguzi mkuu.
Kuna fununu ya kuwa mpango mzima uliokuwepo kwa sasa ni kuhamisha kiwanda hicho na kukipeleka Nchini Rwanda,ambako kuna unafuu wa kodi ,hii hasa inatokana na kuelemewa na utitiri wa kodi ulioko nchini kwani kwa sasa hakuna ukwepaji wa kodi hivyo faida imepungua tofauti na huko nyuma kabla ya uchaguzi mkuu.