Bakhresa anakwepa kodi?


sawa na kubaliana na wew sasa mtu kama mengi kwa nini apendelewe maana kwanza hatoi kodi halafu pili ajira yenyewe ni ya vibarua , yaani mtu anamzalishia mamilion halafu amna ajira mttu unalipwa kama kibarua 3000 kwa siku
 

vodacom haipo , tigo nao haipo
 
Mleta mada hebu tupe orodha ya hilo kundi LA walipa kodi wakubwa. Kama huna hiyo orodha basi haya yatakua majungu

Jamani mlipa kodi ni entities ... Bakhresa Ana makampuni mengi ambayo moja moja ni Ngumu Kuwa mlipa kodi kwa Kuwa ni madogo mengine.

hebu lete hiyo list ya walipa kodi wakubwa...?

Angalia hotuba za bajeti zilizopita, utakuta idadi ya walipa kodi wakubwa nchini na kama sikosei kila wakati wamekuwa ni TBL.
Hawa wanaojiita Azam group of companies watueleze . Na huenda baadaye watueleze walivyopata NMC na facilities zake.
 

we bo.ya vipi mbona unatujazia seva na hiyo post yako moja . tumekuelewa bhana. haya ua winga.
 


nimeomba niletewe list! sijaomba link wapi nikasome....
 
Bakhresa ni 54 containers na tayari tangu jana Azam ICD General Manger kalaliwa yupo lupango hasara toka kwa azam icd kwenda kwa gvt ni 12b mtt wa bakhresa kataenda kulipa kaambiwa baki na pesa zako tuna calculate penalties mtalipa kwa kwa pamoja ila gm wako tunazaa nae another breaking news boss wa home shopping centre kadakwa boder ya namanga alikuwa analala mbele ametulizwa kaambiwa tunakuhitaji hapa kazi tuuu
 
Sasa mtu anakudai hela nyingi hata kudai kodi unaogopa .....wewe unafikiri madeni ya ndani yanatoka wapi ?
 
Huyu ni mmoja wa waliowekeza kwenye mabadiliko ya kuzungusha mikono. Nini walikusudia kufanya baada ya mabadiliko hayo, wanajua wenyewe.

Huyo mfashiri mkubwa wa nzi wa kijani na juzi tu znz kapewa ZAWADI ya eneo la kujenga kijiji cha biashara kama alivyopewa huku bara pale maeneo ya buguruni karibu na tazara
 
ulipe kodi afu mafisadi waenjoy hata ningekuwa mm nisingelipa,hawabane an mafisadi atafanikiwa
 
Alama ya mshangao!!!!! Full stop.....
Nini hii?
 
Tuwe na ushahidi kwenye maandiko yetu basi.
 
Nazjaz una wivu wa kike kwa bilionea wa ukweli asiye na makuu,shehe bakhressa.

nenda TRA kawaombe wakupe document zinaonyesha ulipaji kodi wa bakhressa,bila shaka utalipuka kwa hasira ya wivu.

Mkuu baada ya kugundua kwamba kati ya kontena 349, 54 ni za Shehe bado una msimamo huu huu? Tena loss ni 12b.
 
Nazjaz una wivu wa kike kwa bilionea wa ukweli asiye na makuu,shehe bakhressa.

nenda TRA kawaombe wakupe document zinaonyesha ulipaji kodi wa bakhressa,bila shaka utalipuka kwa hasira ya wivu.

Wnajitoa ufaham tu hakuna mkwepaji kodi kaa MENGI,na biashara nyingi za huyu jamaa ,unakuta haziko wazi , mfano kule mireraini smanjiro ,ana mgodi wa tanzanite lakin cha kushangaza hataki hataki kuwendeleza maana atalipa kodi ,huku akiwa anazalisha tone kadha Za tanzanite,Hilo watu hawalisemi na vyombo vya habari vipo kimya
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…