Bajeti ya Wizara ya Eliwu iliyosomwa na Waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi mh.Shukuru Kawambwa bado kaikidhi matakwa ya elimu bora kwa watz hasa watoto wa masikini maana haijaeleza UVUMBUZI WA TATIZO LA UBORA WA ELIMU UNAOTOTOLEWA BAINA YA WATOTO WA MATAJIRI, VIONGOZI WAKUBWA NA MTOTO WA MASIKINI.
Watoto wa viongozi wengi hapa nchini hasa mawaziri wanasoma ng'ambo elimu bora wakati wale wa masikini wanasoma elimu duni hapahapa ili hao watoto wa viongozi walioenda kusoma mataifa mengine wakirudi wachukue nafasi za baba zao waendekee kuwatawala wale waliosoma elimu duni. Mfano mzuri ni mh. Mbunge wa Kalenga wa sasa.
Nilikuwa najiuliza siku zote kwanini waziri wa wizara hii SIO lakini yupo tu? Nilikuwa cjui ni mbunge wa Bagamoyo kwa Mkuu! Hakika bajeti ya wizara ya Elimu cyo ya kupitisha. Labda kama ni bajeti ya wizara mpya inayojulikana kama BRN.
Watoto wa viongozi wengi hapa nchini hasa mawaziri wanasoma ng'ambo elimu bora wakati wale wa masikini wanasoma elimu duni hapahapa ili hao watoto wa viongozi walioenda kusoma mataifa mengine wakirudi wachukue nafasi za baba zao waendekee kuwatawala wale waliosoma elimu duni. Mfano mzuri ni mh. Mbunge wa Kalenga wa sasa.
Nilikuwa najiuliza siku zote kwanini waziri wa wizara hii SIO lakini yupo tu? Nilikuwa cjui ni mbunge wa Bagamoyo kwa Mkuu! Hakika bajeti ya wizara ya Elimu cyo ya kupitisha. Labda kama ni bajeti ya wizara mpya inayojulikana kama BRN.