Bajeti ya chupi ni ya dume

Bajeti ya chupi ni ya dume

Ni mtazamo tu,
Hatuwezi kufanana duniani, kila mtu atatumia njia zake kuleta furaha katika mahusiano.......
 
Mkuu usisahau kumnunulia na condom akija kwangu huwa nagegeda kavu
 
Kuna baadhi ya Watu huwa hawatabiriki hata kidogo.

Kama unaamua/umeamua kumnunulia, mnunulie tu.

Ila si kwa ajili ya kukumbukwa wewe.

Unaweza mnunulia na bado wewe usiwe kichwani mwake, na wala hutoweza kuiteka Akili yake hata kidogo.

Na pengine wewe ndio akakuchukulia kama Pimbi fulani hivi
 
Aysee usitulazimishe tuige takniki zako za vyupi vyupi cha muhimu ni kuishi nao kwa akili tuu maana hivi viumbe wengi wao hawajui nini wanataka
Lkn unaonaje demu wako kujinunulia chupi!

Wa kishua
 
Kwema
mzee baba

Asante sanA kwa kutukumbusha , ngoja kesho nipitie town nikachukue dozen la kufuli

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
Uanaume Kaz ukipiga mjeled bas kumbuk na kukivika kitumbua kischafuke

Wa kishua
 
Kuna baadhi ya Watu huwa hawatabiriki hata kidogo.

Kama unaamua/umeamua kumnunulia, mnunulie tu.

Ila si kwa ajili ya kukumbukwa wewe.

Unaweza mnunulia na bado wewe usiwe kichwani mwake, na wala hutoweza kuiteka Akili yake hata kidogo.

Na pengine wewe ndio akakuchukulia kama Pimbi fulani hivi
Jiamini mkali wtt wazur ni rahs kuwakontroo

Wa kishua
 
Back
Top Bottom