kama kuna ulazima wa kuongozana na wakuu hawa katika ziara, kwa nini yasinunuliwe mabasi kila mkoa ukapewa basi moja?
Naona sasa watu tunakuwa wajinga... u mean to tell me that of all the misappropriation that happens in Tanzania hili ndio mmeona kubwa..lol
mngekuwa na akili mngegundua kuwa huu ni msafara wa PM akiwa kwenye ziara including, as stated above. RC, PRC, DC au ma DC wote wa mkoa husika, usalama, na maafisa wengine wengi.. Mimi nimkazi wa Oysterbay na mara nyingi nakutana na msafara wa waziri mkuu... ukweli ni kwamba akiwa dar-es-salaam akienda kazini anakuwa na gari yake, mbili za walinzi na piki piki... sasa muache kuwa mnatoa hoja zisizo na kichwa wala mkia... This is the loss of objectivity in exchange for jazba... mnakuwa kama Michael Moore..lol..
My thousand words....!
Mie naipenda hii Honda! Waniambie tu wakati wa dili za kuuziana ninunue!
Naona sasa watu tunakuwa wajinga... u mean to tell me that of all the misappropriation that happens in Tanzania hili ndio mmeona kubwa..lol
mngekuwa na akili mngegundua kuwa huu ni msafara wa PM akiwa kwenye ziara including, as stated above. RC, PRC, DC au ma DC wote wa mkoa husika, usalama, na maafisa wengine wengi.. Mimi nimkazi wa Oysterbay na mara nyingi nakutana na msafara wa waziri mkuu... ukweli ni kwamba akiwa dar-es-salaam akienda kazini anakuwa na gari yake, mbili za walinzi na piki piki... sasa muache kuwa mnatoa hoja zisizo na kichwa wala mkia... This is the loss of objectivity in exchange for jazba... mnakuwa kama Michael Moore..lol..
Ndg kinyambiss pole na maisha ndg yangu.Nimefurahi ulivyojichanganya hapo kwenye wino mwekundu.kumbe aliwa Dar Kikazi anakuwa na magari machache na (kwa mujibu wako) unamaanisha akiwa mikoani picnic ndo anakuwa na msafara mreeeefu.Ndg funguka macho.Hata huko alikokwenda mikoani ni ziara ya KIKAZI.
Sisi hatuongelei kukaa kwako Oysterbay sijui wapi na kuuona msafara wa waziri mkuu.Mimi nakaa majita na nimekuwa najiuliza kwenye hiyo picha,kama lengo ni kumlinda waziri mkuu iweje huyo mjengwa aliyempiga picha na kamera yetu ya kijiji aweze kuichambua na kuipata gari ya waziri mkuu na kuonekana hadi plate namba yake????assume huyo mjengwa angekuwa na Bunduki angepata nini???
Karibu majita tuvue samaki
Let's think SMALL.
Kama kuna ulazima wa kwenda na magari na kuandamana na hao wote.
Je, RC na DC hawawezi kupanda gari moja, kwa nini?
Kuna mwiko gani RPC na OCD kutumia gari moja?
Mkurugenzi wa Halmashauri naye apande gari la Gari na Mbunge/Wabunge.