Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
- Thread starter
- #21
Ahsante kwa changamoto Sam na ahsante kwa maelezo. Ila napenda kuuliza, nikiamini kuwa kiongozi wa ngazi ya juu serikalini majukumu yake ni sawia akiwa katika mkoa wowote nchini, je waziri mkuu anapoenda mkoa wowote mwingine mbali na DSM hiyo ndiyo protokali ya misafara?