naweza nisijue mkurabita ni what kind of a donkey but ulichosema si kweli!Umewahi soma ripoti ya mkurabita?
hii unajua hata mkurabita ni nini?
Kenya wanaotumia bank ni zaidi ya milioni 20
sisi wanaotumia bank ni milioni 3 tu
tulipaswa kuvutia zaidi watu watumie bank kwa kupunguza kodi
badala yake tumeongeza kodi
Thubutu !!!et lengo lao kumaliza umaskini
Habari wadau,
Hivi kama bajeti itapitishwa huku mabenki yakikabiliwa na kodi mpya ya matumizi ya ATM kama inavyopendekezwa, mabenki haya hayawezi kuongeza riba za mikopo kufidia tozo hiyo mpya?
Nauliza swali hili kwasababu naamini benki zikiongeza riba kwenye mikopo,basi hili litakuwa pigo kubwa sana kwa wajasiliamali wengi wa nchi hii.
Kama mabenki yataanza kutafuta chanzo cha kufidia kodi hii mpya,nashauri ni bora waongeza gharama za kutumia ATM hizo au gharama ya kumiliki/kuendesha account,gharama ya kuchukua fedha ndani ya benki(kwa teller) au gharama nyinginezo kuliko kuthubutu kuongeza riba za mikopo maana mtagusa wengi na zaidi mtaongeza umasikini wa mtu mmoja mmoja.
Sitaraji kabisa uamuzi wa aina hii kwa mabenki hata hivyo lolote laweza kutokea kutegemeana na bajeti nzima ya mwaka huu.
Ubarikiwe sana mkuu .Waongeze tu tukome.
Hii nchi bila maskini kufikia hatua ya kukamuliwa na kunyang'anywa kila kitu hakutakua na mapinduzi ya kweli ya kifikra.
Ili CCM iondoke madarakani ni lazima maskini tupitie mateso kupita kiasi ili tu'evolve na kufanya maamuzi sahihi kwa kuchagua watu sahihi.
Kwa mujibu wa ripoti nilyowahi kuisoma miaka michache iliyopita (2013) ilikuwa ni asilimia 17 ya watu wazima (adult population) nchini Tanzania ndio walikuwa wanapata access ya akaunti za benki (idadi hiyo ilikuwa ni watu milioni 3.7) huenda hizo statistics haziko mbali sana, kuna baadhi ya mambo tupo nyuma sana, ila tumepiga hatua kwenye hizi mobile money, machapisho ya ripoti nyingi hututumia kama mfano mzuri.naweza nisijue mkurabita ni what kind of a donkey but ulichosema si kweli!
Mkuu unabishana na kilaza,uyo ajui chochote zaidi ya kupinga.Kwa mujibu wa ripoti nilyowahi kuisoma miaka michache iliyopita (2013) ilikuwa ni asilimia 17 ya watu wazima (adult population) nchini Tanzania ndio walikuwa wanapata access ya akaunti za benki (idadi hiyo ilikuwa ni watu milioni 3.7) huenda hizo statistics haziko mbali sana, kuna baadhi ya mambo tupo nyuma sana, ila tumepiga hatua kwenye hizi mobile money, machapisho ya ripoti nyingi hututumia kama mfano mzuri.
Mkuu unabishana na ******,uyo ajui chochote zaidi ya kupinga.