Bajeti inaandaliwa na serikali na kupitishwa na bunge kisha Rais anaisaini na kuwa sheria. Wanaosema Rais anatoa fedha wako sahihi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,976
Tukumbushane tu.

Mosi, inaitwa ni Bajeti ya Serikali na mkuu wa serikali ni Rais.

Pili, Bajeti ya serikali huandaliwa na serikali yenyewe kisha hupitishwa na bunge baada ya majadiliano na hatimaye husainiwa na Rais wa JMT kuwa sheria.

Tatu, kama Bajeti iliyoandaliwa na serikali ikafanyiwa marekebisho baada ya mjadala bungeni na Rais akagundua ina mapungufu/makosa kabla ya kusaini anaweza kugoma kuisaini na kuirejesha bungeni kwa marekebisho.

Hivyo wanaosema kwa mfano Rais Samia ametoa fedha kwa mradi fulani wako sahihi kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
 
Tukumbushane tu.

Mosi, inaitwa ni Bajeti ya Serikali na mkuu wa serikali ni Rais.

Pili, Bajeti ya serikali huandaliwa na serikali yenyewe kisha hupitishwa na bunge baada ya majadiliano na hatimaye husainiwa na Rais wa JMT kuwa sheria.

Tatu, kama Bajeti iliyoandaliwa na serikali ikafanyiwa marekebisho baada ya mjadala bungeni na Rais akagundua ina mapungufu/makosa kabla ya kusaini anaweza kugoma kuisaini na kuirejesha bungeni kwa marekebisho.

Hivyo wanaosema kwa mfano Rais Samia ametoa fedha kwa mradi fulani wako sahihi kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Mbowe sio gaidi
 
Tukumbushane tu.

Mosi, inaitwa ni Bajeti ya Serikali na mkuu wa serikali ni Rais.

Pili, Bajeti ya serikali huandaliwa na serikali yenyewe kisha hupitishwa na bunge baada ya majadiliano na hatimaye husainiwa na Rais wa JMT kuwa sheria.

Tatu, kama Bajeti iliyoandaliwa na serikali ikafanyiwa marekebisho baada ya mjadala bungeni na Rais akagundua ina mapungufu/makosa kabla ya kusaini anaweza kugoma kuisaini na kuirejesha bungeni kwa marekebisho.

Hivyo wanaosema kwa mfano Rais Samia ametoa fedha kwa mradi fulani wako sahihi kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Kaka acha ujinga, leo jumapili haraf nadhani ni siku ya Afya ya akili leo. Itumie vizuri akili yako. Serikali ndio inatoa fedha, sio rais, Ni serikali.
 
Tukumbushane tu.

Mosi, inaitwa ni Bajeti ya Serikali na mkuu wa serikali ni Rais.

Pili, Bajeti ya serikali huandaliwa na serikali yenyewe kisha hupitishwa na bunge baada ya majadiliano na hatimaye husainiwa na Rais wa JMT kuwa sheria.

Tatu, kama Bajeti iliyoandaliwa na serikali ikafanyiwa marekebisho baada ya mjadala bungeni na Rais akagundua ina mapungufu/makosa kabla ya kusaini anaweza kugoma kuisaini na kuirejesha bungeni kwa marekebisho.

Hivyo wanaosema kwa mfano Rais Samia ametoa fedha kwa mradi fulani wako sahihi kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Huku ni kujikomba kwa Mwenye Mamlaka ya Urasi. Rais anatoa hela kutoka wapi. Inayopitishwa Ni bajeti ya serikali. Hela inatolewa na Serikali. Basi. Hatutaki POROJO!
 
Tukumbushane tu.

Mosi, inaitwa ni Bajeti ya Serikali na mkuu wa serikali ni Rais.

Pili, Bajeti ya serikali huandaliwa na serikali yenyewe kisha hupitishwa na bunge baada ya majadiliano na hatimaye husainiwa na Rais wa JMT kuwa sheria.

Tatu, kama Bajeti iliyoandaliwa na serikali ikafanyiwa marekebisho baada ya mjadala bungeni na Rais akagundua ina mapungufu/makosa kabla ya kusaini anaweza kugoma kuisaini na kuirejesha bungeni kwa marekebisho.

Hivyo wanaosema kwa mfano Rais Samia ametoa fedha kwa mradi fulani wako sahihi kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Pumbaf
 
Huku ni kujikomba kwa Mwenye Mamlaka ya Urasi. Rais anatoa hela kutoka wapi. Inayopitishwa Ni bajeti ya serikali. Hela inatolewa na Serikali. Basi. Hatutaki POROJO!
Wachana na huyo garasa
 
Huku ni kujikomba kwa Mwenye Mamlaka ya Urasi. Rais anatoa hela kutoka wapi. Inayopitishwa Ni bajeti ya serikali. Hela inatolewa na Serikali. Basi. Hatutaki POROJO!
Kwa mtazamo huo, basi Tanzania imepata uhuru mwaka 2015 ambapo mambo haya yalianza, na Rais wa kipindi hicho ndo Rais wa Kwanza wa Tanzania huru.
 
Kwahiyo naweza kuishtaki serikali kwa kukuvunja sheria pale inaposhindwa kutekeleza bajeti kwa asilimia mia moja. Maana unasema bajeti inasainiwa na raisi na kuwa sheria
 
OK,basi wakati mwingine tutoe shukrani na kwa waziri Wa fedha na tuseme wazi kuwa tunamshukuru waziri kwa kutoa fedha za mishahara NK!
Mkapa mwenyewe alikuwa Rais lakini anapinga kauli za kusema Mkapa/Rais katoa fedha!
 
Tukumbushane tu.

Mosi, inaitwa ni Bajeti ya Serikali na mkuu wa serikali ni Rais.

Pili, Bajeti ya serikali huandaliwa na serikali yenyewe kisha hupitishwa na bunge baada ya majadiliano na hatimaye husainiwa na Rais wa JMT kuwa sheria.

Tatu, kama Bajeti iliyoandaliwa na serikali ikafanyiwa marekebisho baada ya mjadala bungeni na Rais akagundua ina mapungufu/makosa kabla ya kusaini anaweza kugoma kuisaini na kuirejesha bungeni kwa marekebisho.

Hivyo wanaosema kwa mfano Rais Samia ametoa fedha kwa mradi fulani wako sahihi kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Bange za ukubwani mbaya sana, ingekuwa ni hivyo hawa wanaowapatia misaada wangekuwa wanataja jina Rais wao kwenye hizo nembo. Hivi kwanini ukiwa CCM kichwa na ubongo havitumiki tena kufikiri, bali MASABURI tu?
USAID.png
 
Tukumbushane tu.

Mosi, inaitwa ni Bajeti ya Serikali na mkuu wa serikali ni Rais.

Pili, Bajeti ya serikali huandaliwa na serikali yenyewe kisha hupitishwa na bunge baada ya majadiliano na hatimaye husainiwa na Rais wa JMT kuwa sheria.

Tatu, kama Bajeti iliyoandaliwa na serikali ikafanyiwa marekebisho baada ya mjadala bungeni na Rais akagundua ina mapungufu/makosa kabla ya kusaini anaweza kugoma kuisaini na kuirejesha bungeni kwa marekebisho.

Hivyo wanaosema kwa mfano Rais Samia ametoa fedha kwa mradi fulani wako sahihi kabisa.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Ndiyo maana mkatengewa siku na siku hiyo ni leo.
Mleta mada umeitendea haki siku yenu.
 
Back
Top Bottom