Bajeti 2017/2018: Ukweli kuhusu kiasi kilichoongezwa kwa lita baada ya road licence kuondolewa

Ukweli kuna unafuu mkubwa mfanio kwangu mimi natumia lita 60 kwa mwezi (TZA 120,000) ina maana road license ni TZS 40 x 60 x12 = 28,800 badala ya TZS 200,000. Hata hivyo napata shida kwani nililipia road license 29/5/2017 ambayo itaisha 28/5/2018 hivyo kwangu mimi imekula.

Kuna uwezekano vile vile wa magari mabovu yaliyopaki muda mrefu kurudi barabarani na hii itaongeza ajali za barabarani.
sina uhakika kama huu uamuzi wa serekali umefikiwa baada ya kufanya utafiti.

labda for argument's sake, ngoja tudadavue vijihesabu kidogo hapa chini kwa kutumia aina ya magari ambayo yana impact ya moja kwa moja kwa maisha ya Watanzania wengi (yaani yale ya kubeba abiria na yale ya kubebea consumer goods kama vyakula, bidhaa za madukani, nk)...

assume average fuel consumption rate kwa magari ya aina hii = lita 500 kwa wiki
kwa mwaka inakuja 500 x wiki 52 = lita 26,000 kwa mwaka
gharama ya kodi mpya ya sh 40 kwa lita inaleta = 40 x 26,000 = sh 1,040,000 kwa mwaka kwa kila gari
gharama ya juu kabisa ya road license kwa sasa ni sh 250,000 kwa mwaka kwa kila gari

hii ina maana gharama za uendeshaji magari ya abiria na bidhaa muhimu itapanda kwa sh 1,040,000 - 250,000 = sh 790,000 kwa mwaka kwa gari.

je, wenye magari watafidiaje hii gharama itakayoongezeka?

nadhani argument yetu ya kuunga au kupinga replacement ya road license kwa kuanza ku-charge fuel levy iwe kwenye context hiyo hapo juu (note: hiyo assumed figure ya bluu ni muhimu sana kwa mahesabu ya hela).
 
sina uhakika kama huu uamuzi wa serekali umefikiwa baada ya kufanya utafiti.

labda for argument's sake, ngoja tudadavue vijihesabu kidogo hapa chini kwa kutumia aina ya magari ambayo yana impact ya moja kwa moja kwa maisha ya Watanzania wengi (yaani yale ya kubeba abiria na yale ya kubebea consumer goods kama vyakula, bidhaa za madukani, nk)...

assume average fuel consumption rate kwa magari ya aina hii = lita 500 kwa wiki
kwa mwaka inakuja 500 x wiki 52 = lita 26,000 kwa mwaka
gharama ya kodi mpya ya sh 40 kwa lita inaleta = 40 x 26,000 = sh 1,040,000 kwa mwaka kwa kila gari
gharama ya juu kabisa ya road license kwa sasa ni sh 250,000 kwa mwaka kwa kila gari

hii ina maana gharama za uendeshaji magari ya abiria na bidhaa muhimu itapanda kwa sh 1,040,000 - 250,000 = sh 790,000 kwa mwaka kwa gari.

je, wenye magari watafidiaje hii gharama itakayoongezeka?

nadhani argument yetu ya kuunga au kupinga replacement ya road license kwa kuanza ku-charge fuel levy iwe kwenye context hiyo hapo juu (note: hiyo assumed figure ya bluu ni muhimu sana kwa mahesabu ya hela).
Wafanyabishara siyo walaji wa mwisho, hizo gharama ni sehemu ya matumizi ya biashara tofauti na mtu binafsi ambaye matumizi yake hatumii kukokotoa faida. Nasisitiza "Indirect tax" haiumi kama "direct tax".
 
Unaweza je kusema umefuata halafu umehamishia kwenye mafuta, neno kufuta liondoke ibaki kuhamishiwa. Ni kweli amesema ongeza la shs 40/= mbona iko hadi kwenye mafuta ya taa, isitoshe kuna ongeza la 50,000/= kwenye usajili. Sasa pongezi ni juu ya nini! Sijazungumzia jinsi ambavyo kodi inamuathiri hadi asiyekuwa na gari, kodi hii in alipewa na mpaka mwenye jenereta au mashine za kusaga. In alipewa mpaka na mbrash viatu anayetumia petrol.
 
Mkuu umepiga hesabu vibaya28800 zidisha kwa miezi 12,tunalipa zaidi ya ile ya awali ,labda uache kutumia gari ndio hautakuwa!
 
Bajeti hii imewakata mavuvuzela wote Hanna pa kutokea

Isije ikawa wewe ni miongoni mwa wale, wakata viuno, waropokaji na wagonga meza wa jana kama majuha huku akili wakiwa wameziacha chooni kwenye kinyesi bila hata kutambua ni kitu gani hasa wanachoshangilia !!


Kama kweli wewe huna hizo sifa na badala yake unajitambua kuwa unazo akili zako hapo ulipo (yaani hujazisahau chooni kwenye kinyesi)...

Liambie hili jukwaa kwa kujibu maswali haya, kwamba....

Mosi, bajeti ya mwaka 2016/2017 ilikuwa ya Tshs ngapi ?

Pili, litekelezwa kwa kiasi gani (in %) ?

Tatu, kwa nini, unadhani Ilitekelezwa kwa chini ya 40% ? ......

kwa hili ngoja nikusaidie jibu lake, kwamba, ni kwa sababu ya ujinga wenu kwa kudhani kuwa bajeti ni makaratasi na mbwembwe za msomaji na huku mkikata viuno kama waimba taarabu na kugonga meza tu kama wendawazimu huku akili zenu mkiwa mmezipaki msalani !!

Nne, kwa nini unaamini kuwa hii ya 2017/2018 ya Tshs. 31.7T itatekelezwa iwapo ya 29T Ilitekelezwa kwa chini ya 40%??

Najua hutaweza kujibu maswali haya kwa sbb akili yako iko kwenye kugonga meza tu na kusifia familia ya Magufuli !!!
 
Jamani uzuri au ubaya wa bajeti tutauina kwenye utekelezaji( maisha halisi,) kama ambavyo kwa sasa ni dhahiri kuwa bajeti ya 2016/17 ilikuwa mbovu na haikutekelezeka hali iliyosababisha ugumu wa maisha kwa kila mtanzania .Sasa wale mnaoshangilia mambo haya yakijirudia basi ni aibu yenu na maisha ya mlalahoi yakiboreka ni hongera yenu! Bye
 
Back
Top Bottom