KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
Wakuluu habari za jioni.
Nataka niulize tu vipi mishahara kwenye bajeti imeongezwa kwa upande wa serikali au ndio tutaendelea kusota mpaka CHADEMA kishike hatamu?
Naomba nijibiwe.
Shukran wa jazila.
Nataka niulize tu vipi mishahara kwenye bajeti imeongezwa kwa upande wa serikali au ndio tutaendelea kusota mpaka CHADEMA kishike hatamu?
Naomba nijibiwe.
Shukran wa jazila.