Bajaji Limousine

Joeli

JF-Expert Member
Apr 25, 2011
4,941
3,396
5120812.jpg


8745175.jpg
 
lina nguvu hapo kati kati kweli?
hilo tu kuna masuala ya kujibu hapa.
-Mbele kunatairi moja , kulingana na urefu wa "gari" stability yake salama kweli?3 point support)
-Uzito wa mzigo(abiria karibia 7 pamoja na dereva), "engine ya "gari" inaweza kuhimili?
salama wa abiri upo kweli? naona vi-pipe tu kama support ambavyo havikidhi mtu kujishikilia

Hilo gari ni hatari kwa matumizi ya binadamu.
 
hilo tu kuna masuala ya kujibu hapa.
-Mbele kunatairi moja , kulingana na urefu wa "gari" stability yake salama kweli?3 point support)
-Uzito wa mzigo(abiria karibia 7 pamoja na dereva), "engine ya "gari" inaweza kuhimili?
salama wa abiri upo kweli? naona vi-pipe tu kama support ambavyo havikidhi mtu kujishikilia

Hilo gari ni hatari kwa matumizi ya binadamu.

Na hizi barabara zetu za mabondeni sijui kama litahimili
 
hilo tu kuna masuala ya kujibu hapa.
-Mbele kunatairi moja , kulingana na urefu wa "gari" stability yake salama kweli?3 point support)
-Uzito wa mzigo(abiria karibia 7 pamoja na dereva), "engine ya "gari" inaweza kuhimili?
salama wa abiri upo kweli? naona vi-pipe tu kama support ambavyo havikidhi mtu kujishikilia

Hilo gari ni hatari kwa matumizi ya binadamu.

Ifungie injini ya corolla na chesisi ya guta na mambo swafi.
 
Kwanini wametengeneza?
hilo tu kuna masuala ya kujibu hapa.
-Mbele kunatairi moja , kulingana na urefu wa "gari" stability yake salama kweli?3 point support)
-Uzito wa mzigo(abiria karibia 7 pamoja na dereva), "engine ya "gari" inaweza kuhimili?
salama wa abiri upo kweli? naona vi-pipe tu kama support ambavyo havikidhi mtu kujishikilia

Hilo gari ni hatari kwa matumizi ya binadamu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom